Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Unaelewa kutinga hatua ya makundi simba inakunja milupo mingapi?Woga wako ndiyo umasikini wako.Wimbo wa Rose muhando,Simba kageuka kawa Panya kwa Paka,sababu zao hazina mashiko si wanadai Wana kikosi kipana leta timu ule kipigo Cha mbwa mwizi kudadeki.Lazima Nyama pori itafunwe na kunywewa supu
Hapo unazungumzia kwenye M500 na usengee huko
Sasa imagine wachezaji wanapata injury kwenye kikombe cha m15, injury ambayo itawafanya wakose wachezaji muhimu kwenye mechi muhimu
Ni hesabu ndogo tu, nyinyi mnahaki ya kupambania kwasababu hamna pa kwenda