Unaelewa kutinga hatua ya makundi simba inakunja milupo mingapi?Woga wako ndiyo umasikini wako.Wimbo wa Rose muhando,Simba kageuka kawa Panya kwa Paka,sababu zao hazina mashiko si wanadai Wana kikosi kipana leta timu ule kipigo Cha mbwa mwizi kudadeki.Lazima Nyama pori itafunwe na kunywewa supu
Kikosi kipana,lete timu acha uwoga.Hahahahahaaa huna hoja wewe umeogopa kipigo Cha mfululizo.Kwa Taarifa yenu Usajiri wa dirisha dogo ni hatariii,Chamaaaaaaaaaaa,Sure Boyyyyyy n.k ,saplize ya kufa mtuNinyi mlipogomea Mapinduzi Cup ilikuwa mnaogopa au!?
Kunya anye Kuku akinya Bata kaharisha.
Si una kikosi kipana,acha woga leta timu wewe.Unaelewa kutinga hatua ya makundi simba inakunja milupo mingapi?
Hapo unazungumzia kwenye M500 na usengee huko
Sasa imagine wachezaji wanapata injury kwenye kikombe cha m15, injury ambayo itawafanya wakose wachezaji muhimu kwenye mechi muhimu
Ni hesabu ndogo tu, nyinyi mnahaki ya kupambania kwasababu hamna pa kwenda
[emoji120][emoji120][emoji120]Mwambieni Mo nae aweke hela,huyo tajiri wenu wa kwenye makaratasi .Raha ya utajiri tumia pesa tuone,huyo tajiri kanjanja,wewe uliona wapi tajiri anashinda mitandaoni kujibishana na watu mda huo anatoa.Nenda kaangalia wafanyakazi kwenye kampuni zake wanavyonyanyasika malipo duni na unyanyasaji mwingi si unajua wahindi walivyo.Watu wanafanyakazi kwa sababu ya shida na umasikini tu lakini wananung'unika balaaaa.Huyo muhindi hovyo kabisaaa Hana huruma hata kidogo
Huna uwezo huo.Timu lenyewe tia maji tia maji.Unashangilia uku umeshika moyo.Subiri uone Jmosi kitakachokupata utajuta kuleta timu kwa Mkapa.Woga Bwana,ukapeleka barua yako bodi ya ligi ili mechi isogezwe mbele umekataliwa hahahaaaaa,lazima uliwe tena sanaNa tukifika robo fainali tunasusa mazima kucheza hata hii ligi kuu, tutaongea na CAF waangalie utaratibu wa kutupanga kwenye ligi yenye club zenye competitions za level zetu
Nyie wazuri kimataifa mlishaaga. Kachezeni sasa ili mchukue ubingwa.Team mbovu ya Simba, so wanaogopa kufungwa na Yanga kila wakikutana!
Sawa tumewakimbia.Yanga baba lao,mtatukimbia sana kuanzia msimu huu mpaka misimu yote ijayo.Hela ipo Usajiri wa nguvu kila msimu kwa kila sehemu yenye udhaifu,kila mkikutana na Yanga ni kipigo mkinusurika mmetoa sare.Yanga ndiyo Baba yenu mpaka mtakoma
Kua na kikosi kipana haimaanishi kitumike kiholela hata kwenye mashindano ambayo haya maslahi hususani kwa ukubwa ambao club inayoSi una kikosi kipana,acha woga leta timu wewe.
Ndio maana nasema CEO wetu ni 0 brain
Kila mwana utopolo baada ya maneno mawili, latatu lazima lihusiane na tarehe 11 jumamosi.Huna uwezo huo.Timu lenyewe tia maji tia maji.Unashangilia uku umeshika moyo.Subiri uone Jmosi kitakachokupata utajuta kuleta timu kwa Mkapa.Woga Bwana,ukapeleka barua yako bodi ya ligi ili mechi isogezwe mbele umekataliwa hahahaaaaa,lazima uliwe tena sana
Huko kwenye Shirikisho mechi zijazo mnakula kipigo hamvuki,nyie si mnadai mna kikosi kipana mnatakiwa mshiriki mashindano yoyote yaliyombele yenu lengo kuwapa nafasi wachezaji ambao hamuwatumii mfano Ajibu,Yusufu muhilu n.k ,Ndugu zangu mnaogopa kipigo Cha Yanga hahahaaaaa
Kauli mbiu za kikosi kipana zimeishia wapi?[emoji16]Kuna ulazima wowote wa kucheza mzeee?
Kijana tafuta pesa, usilambe matak.o ya wafadhaliFamilia yenu Nzima au hata Kabila zima hakuna mwenye hata Nusu ya CV aliyonayo CEO wa Simba.
Sasa sijui Nyinyi nitakuwa ni Negetive Zero Brain 🤔
Kesho mechi ya Simba Vs Yanga,sasa unaposema uwoga sijajua huo uwoga upi,labda ufafanue?Pointless ,Woga tu wanaogopa kushindiliwa vitu vizito Yanga kawapania sana.Mayeleeeeeee hatariii huku saido,Kule Jesus Moloko,hapa Aucho,Pale Bangala ,kule Fei Toto Hahahahaaaaa hatariiiiiiii lazima wakimbie
Mechi ya kesho mnakufa goli mbili,alafu ubingwa mtausoma tu kwenye magazeti ya michezo.Huna uwezo huo.Timu lenyewe tia maji tia maji.Unashangilia uku umeshika moyo.Subiri uone Jmosi kitakachokupata utajuta kuleta timu kwa Mkapa.Woga Bwana,ukapeleka barua yako bodi ya ligi ili mechi isogezwe mbele umekataliwa hahahaaaaa,lazima uliwe tena sana
Kumbe mechi ni kesho Ijumaa!Mechi ya kesho mnakufa goli mbili,alafu ubingwa mtausoma tu kwenye magazeti ya michezo.
Tatizo lenu mnawekeza kuwaza kwa ajili ya Simba, na si kwa maendeleo ya litimu lenu. Shame on you.Team mbovu ya Simba, so wanaogopa kufungwa na Yanga kila wakikutana!
Ukiwa kwa upande huu unapwaya sana tofauti na ninavyokuchulia!Wameisha hawa.
Kachanganyikiwa huyo [emoji23][emoji23]Kumbe mechi ni kesho Ijumaa!