Simba wasusie hela ya goli ya mama

Mama ndiyo nani huyu au unasema rais ambaye kila chawa anapenda kumuita mama kana kwamba wanawake wengine si mama?
 
Huu ni udumavu wa ankili
 
Huyu mama hajui ugumu wa mpira, angekua anajua asingekua anatoa ahadi za kitoto eti zawad hadi ushinde mpira wa miguu huwez kuamin kwenye kushinda tu, kuna muda goli pekee linakupa ubingwa na hujashinda vile vile rejea fainal ya Yanga.
 
Huyu mama hajui ugumu wa mpira, angekua anajua asingekua anatoa ahadi za kitoto eti zawad hadi ushinde mpira wa miguu huwez kuamin kwenye kushinda tu, kuna muda goli pekee linakupa ubingwa na hujashinda vile vile rejea fainal ya Yanga.
Hata wewe unaruhusiwa kutoa kwa mashariti yako
 
Kwanza mashindano yana pesa nyingi hizo milioni 10 ni pesa gani?
Sipendi hata kuzifikiria
 
Msigwa alisema na akarudia mara mbili mbili. Simba ikishinda, Simba ikishinda, kila goli mama atatoa 10M, zingatia neno ikishinda! Sasa labda tuanzie hapo, Simba imeshinda!!?[emoji23][emoji23][emoji23]
Unashinda magoli au unafunga magoli?
 
Mbona hata msimu uliopita utaratibu ulikuwa ni huo huo!! Sioni sababu ya kususia hizo pesa kama ina mashiko. Uzuri bado mna nafasi ya kwenda kushinda ugenini kwenye mechi ya marudiano.
Uzuri wakishinda Misri hata pesa za hizi goli 2 watajumuishiwa.
Lakini jee watashinda?
 
Mkuu, hao ni mbumbumbu, wanashindwa kutofautisha kati ya kushinda na kufunga.

Kiufupi jana mbumbumbu amefunga lakini hajashinda.

Naahidi kwenye ujenzi wa sanamu la Rage pale msimbazi nitajitolea ndoo 7 za maji.
Mimi nitajitolea nguvu kazi.
 
Kashajua kuna mtu anaenda kutinduliwa ipasavyo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
acheni ujinga na pesa za umma shindeni mechi mpewe pesa nyie takeni pesa kirahisi mtapakatwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…