Simba wasusie hela ya goli ya mama

Simba wasusie hela ya goli ya mama

Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.

Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.

Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.

Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
Uelewa wako ndio mdogo akuna sehemu waliyosema icho unachokisema hapo, walisema timu ikishinda ndio unapata iyo pesa na sio vinginevyo, alafu Mama sio fara kiivyo unavyodhani Ile kuweka milioni kumi alijua amtolamba ata mia yake kwakuwa uwezo wa kumfunga Aly ahly alijua amtothubutu na pesa yake itabaki kwenye mikono salama ikasaidie mambo mengine!
 
Elimu eli
Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.

Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.

Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.

Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
elimu elimu elimu x 100
 
Yanga kwenye mechi na USM alger ahadi ilikuwa kama hiyo endapo yanga akishinda mechi kila holi milioni kadhaa, yanga akabanduliwa 2-1 kwa mkapa na bado akapewa hela
Mwanzo alikuwa ananunua goli haijalishi matokeo, ila sasahivi anaangalia na ushindi pia
 
Unaposema mama ni Yanga nakuelewa vizuri. Kwa sababu ni yeye mwenye alisema kuwa magoli yatakayonunuliwa ni yale yaliyosababisha timu kushinda na kupata alama 3.

Lakini ikawa tofauti kwa Yanga. Yanga alipigwa kwenye mechi mbili kwa moja lakini alipewa hela. Hapo kuna sintofahamu.
Hakuna sintofahamu yoyote bali vigezo vimebadilika
 
Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.

Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.

Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.

Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
Sawa tumesusia kachulueni nyie mwiko nyuma
 
Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.

Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.

Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.

Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
Hovyo kabisa. Kwahiyo Simba ingefungwa 5 -3 ndiyo ipewe 30 million akili za hovyo kabisa. Pesa hazipatikani kirahisi hivyo.
 
Yaani upewe pesa na huna Cha maana ulichafanya?, Kama Sa100 ni yanga zile za Horoya ulizitoa wewe?. Punguzeni ujinga nyie viazi wa Mangungu 😅
 
Kwani wewe Mgeni wa kanuni za kupata Hiyo ela ? Msimu uliopita ilikuwaje ???
 
Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.

Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.

Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.

Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
Kula pesa ya mama inabidi utumie akili sana, ...
 
Back
Top Bottom