Simba watachukua ubingwa wa NBC kwa 7-10

Hamna team ambayo haifungwi.

Kilichotokea jana kwa yanga ndio mpira ulivyo.

Muda ndio utaongea zaidi.
 
Kelele zote hizi ni hiyo mech moja ya jana tu. Ndo ushaconclude mpaka anaechukua ubingwa.
 
Kelele zote hizi ni hiyo mech moja ya jana tu. Ndo ushaconclude mpaka anaechukua ubingwa.
Yaani acha tu ndugu yangu,Yaani kuna watu sijui wanatumia nini kufikiria.

Yaani mtu ana conclude ubingwa kwa mechi ya jana.
 
Kelele zote hizi ni hiyo mech moja ya jana tu. Ndo ushaconclude mpaka anaechukua ubingwa.
siyo kelele,tukichukua tutarudi kimya kimya siyo kama nye mlizunguka nayo dar yote mwaka jana hadi mikoani
 
siyo kelele,tukichukua tutarudi kimya kimya siyo kama nye mlizunguka nayo dar yote mwaka jana hadi mikoani
Ndo kawaida hiyo mkuu. Si ajabu kushangilia sa mnashinda ili mkae kimya afu iweje sasa si bora msishiriki kama hamkifurahii mnachovuna.
 
Kwa kutumia kigezo cha kishabiki upo sahihi, ila hali halisi mpaka sasa haipo hivyo.
 
Ni wapuuzi tu ndo mnatumia perfomance ya mechi mbili ku-draw conclusion. Siku Simba alipomfunga 4-1 Ruvu shooting mliongea kila aina ya neno.......baada ya hapo Simba haikuwa na kiwango bora tena. Juzi tu kwenye hii Mapinduzi, Simba alihangaika sana kupata matokeo kwa Mlandege. Muwe na subira, msiongee sana
 
Kwa kutumia kigezo cha kishabiki upo sahihi, ila hali halisi mpaka sasa haipo hivyo.
Na nyie mna muda wa kuchezea kujibu utaahira wa awa vilaza wa Mo energy, wao wameshamaliza kila kitu kwa kumfunga namungo mpaka ligi wamebeba tiyali hizi ni akili za fisi kuvizia mizoga ndo apate mlo wake!
 
Ukweli yanga hakutoboa mapinduzi kwa sababu hakubebwa na waamuzi kama inavyofanyika huku bara.
Hata akifungwa watalazimishiwa penalty ili wasawazishe.
Na kama wamefunga,mpinzani hatapewa nafasi ya kufunga kwani kila akitengeneza move ya goli itatafutwa sababu ya kuua move hiyo.
 
Kama ambavyo simba amenufaika na penalty na kadi nyekundu za wapinzani na kukusanya point 9 kupitia njia iyo
 
Gap linapungua ,tunakumbushana
 
Gap linapungua ,tunakumbushana
Litapungua baada ya mechi ya Mtibwa vs Yanga. Ila endapo Yanga watashinda dhidi ya Mtibwa kuna uwezekano gap likapungua mbeleni au likaongezeka zaidi kutoka nane mpaka 11. Laiti kama kungekuwa na maamuzi ya haki nadhani hilo shwangwe lako la gap kupungua usingekuwa nalo saivi.
Timu inaishi kwa massada wa marefa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…