Naona mara hii ushasahau kilichotokea kwa Africa Lyon...Sioni kama kuna shida yoyote kwani hakuna chochote anachokabidhiwa mtu bila kuwepo terms and condition za kisheria.Hivi vitu vitaenda kisheria na makubaliano ya kisheria lazima yawepo.
Hivi kwanini sisi ni waoga kwa mambo ambayo hayana msingi.
Kwa mantiki hii na kwa jambo dogo hivi hatuwezi kuendelea kwa lolote.
Kuthubutu kwetu ni kitu kisichowezekana,na tutashindwa kwa mengi kwa mtindo huu.
Nachukia mikia fc, I love your logical reasoning. Thanks brother.wakati rage akiwaita wanachama wa simba mbumbumbu wengi tuliona kawatukana ila ukweli aliwaambia ingawa hayupo.Wanachama walipaswa kuwaoji wakina Aveva kwanini wananshindwa kuipa timu mafanikio, kama tatizo ni pesa waelez vitega uchumi likiwemo jengo la msimbazi na mauzo ya jezi yanaenda wapi.Wanachama wengi wanamshabikia dewji kununua simba hisa 51% kwa bilioni 20 wakati hakuna chombo chochote kilichokaa na kuthibitisha thamani halisi ya simba ikiwa pamoja na fanbase yake.Wameshindwa kumuuliza dewji nini kilimshindwa afrika lyon mpaka akaiuza na je simba ikimshinda hatachukua maamuzi hayohayo.Dewji anatumia umbumbu wa wananchama wa simba kutekeleza malengo yake kama kweli anaipenda simba na yeye ni mwanachama mbona kikao cha jana hakuhudhuria?wanachama wameshindwa hata kuhoji taarifa ya fedha ingawa ilikuwa na mapungufu mengi kisa kudai timu auziwe dewji.wanabaki kulaumu wazee wa simba wakati hawajui wao ndio walianzisha hiyo timu na mpaka leo bado ipo.
Kwani mimba tayari? Mambo ya kampa kampa tena hayo!!Mkuu ukitaja Yanga nasikia kutapika..achana na hiyo timu ya kisanii..
We,kama we ni mojawapo ya wanaofaidika na huu uendeshaji wa timu kupitia ujanjaujanja mwisho wenu unakuja.Haiwezekani klabu yenye kila aina ya chanzo cha hela halafu wanashinda kutwa kupitisha bakuli,Hivi ww Simba ilipofikia ni ya kuchukua wachezaji kwa mkopo?Ni ya kufikia kutwa viongozi kusema Timu haina hela?Hebu tuache wivu WaTZ au labda ww ni wa upande wa pili!!!Timu iendeshwe kwa mfumo wa Hisa ila watu wajadili kwa kina,ikiwemo kutia mikataba Imara..Alaaaa!!!!Kuna watu wananufaika na ignorance ya wengi..simba wasipoangalia ndio utakua mwanzo wa mwisho wa timu...
Unajua stroke Dewji kweli ni mfanyabiashara na anapowekeza si kwamba anataka fedha yake iende bure au kutoa sadaka pesa ikaliwe.Aliku
Naona mara hii ushasahau kilichotokea kwa Africa Lyon...
We unatakaje miaka 80 imepita sasa hakuna kusogeaSimba watakua wanajirudisha nyuma miaka kadhaa kama watakubali kuruhusu Mohamed Dewji Achukue contol ya timu kwa asilimia kubwa.
Simba wamekua driven na kile kinachoonekana kama success kwa Yanga ambacho binafsi naona kama vile sio success bali ni safari kuelekea kuzimu kwa timu ya Yanga.
Simba wanaona Kwa yanga kushinda Ligi kuu na kushiriki nane bora ya Champions league kama mafanikio ya kuifanya Simba kutetereka na kuuza Asili yake.
Kinachoendelea Yanga ni kama furaha ya povu ambalo litapasuka muda wowote ikitokea mmfadhili wa sasa akaudhiwa.
Imeshawai tokea mara kadhaa miaka ya nyuma kuona wafadhili wa hizi timu wakizidump na kuleta taharuki kwa timu husika.
Vile vile sio mara ya kwanza kwa Dewji kua mfadhili wa Simba, alishawanfa hivyo na akabwaga manyanga yake.
Dewji huyu huyu baada ya kuudhiwa na Simba alianzisha timu yake ya Africa Lyon ambayo , kwa sasa hali yake haifahamiki kama imekufa au bado inaendelea kushiriki ligi mbali mbali.
Mpaka sasa sijasikia convincing argument toka kwa Dewji huyu wa sasa kujitofautisha na Dewji wa Zamani ili wana Simba wampe timu.
Waungwana wanasema " eperience is the best teacher" Hivyo nawausia wana Simba wenzangu kuwa makini na maamuzi yao, maana kuna dalili za kuja jutia huko mbele.
I stand to be corrected.
Usani upi sasaHuyu Dewji dawa yake ni mahakamani tu...
manake anatumia njaa za watu wachache kuleta usanii
umejuaje? utafiti wa valuation ya thamani ta Simba ulifanyika lini?Hio bil 20 hata GOODWILL ya simba pekee haitoshi, sembuse total market value ya Simba, huo ni mzaha mtupu
Kwa akili yako ndogo unaona hiyo ni kama 20000/=uwe unaona aibu hata kuiandika maana walizonazo hizo wanahesabikaNachukia mikia fc, I love your logical reasoning. Thanks brother.
Kilichowazuzua watu hiyo figure, 20,000,000,000/=
Hujaelewa hata mantiki ya comment yangu. Ndio wale waleeeKwa akili yako ndogo unaona hiyo ni kama 20000/=uwe unaona aibu hata kuiandika maana walizonazo hizo wanahesabika
Utake usitake...we nani kwani?huchangii chochote umekaa kutoa ujinga wakoBinafsi nakataa kumpa Timu"MO"