Embu kwanza ncheke π€£ππ€£πYaite mwenyewe mashindano ya kina mama
Me nawapa update tu
Yanga atakuna na Mashujaa robo fainali klabu bingwa Afrika.Hapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka
Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu
Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch π€£π
Kimeumana
Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
Hamna hata aibu kuchungulia wenzenuHapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka
Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu
Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch π€£π
Kimeumana
Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
Wanashiriki michuano gani Afrika?Yanga hawashiriki Shirikisho
Timu iliyokuwa shirikisho ni Simba na Coast union
Wanapiga chabo wakati mwamba anakula mzigoHamna hata aibu kuchungulia wenzenu
Unaandika huku unatetemeka! ..to the final! Safari yenu ndiyo imeishia hapo.[emoji881] to the final.
Uto mtateseka sana huu mwaka.
Makolo kwisha habari yao[emoji23][emoji23]Hapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka
Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu
Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch [emoji1787][emoji28]
Kimeumana
Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
Na nyie UTOPOLO Plus mtakutana na nani? Au draw yenu bado haujafika muda wa kupangwa?Hapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka
Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu
Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch [emoji1787][emoji28]
Kimeumana
Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan huu mwaka mtasema yotee.Unaandika huku unatetemeka! ..to the final!