Simba watakutana na Al Masry ya Egypt

Simba watakutana na Al Masry ya Egypt

Hapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka

Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu

Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch 🤣😅
Kimeumana

Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
Tulikuwa tunawataka waarabu. Simba sc is going all the way to the final.Simba sc will be the champion of the tournament.
 
20250220_181036.jpg
 
Baada ya kutolewa, tusisikie kelele za kumlaumu Mangungu, Matola, au baadhi ya wachezaji wenu. Sawa kijana?
Mimi ni mjomba wako hupaswi kuniita kijana,
Tulimtoa Zamaleki Enzi hizo ni wa moto 2003,niko Taifa Joseph Kaniki Golota.
Sijui Ulikua wapi wewe mjomba wangu.
Mzee mwenzangu OKW BOBAN SUNZU Kalpana Mshangazi dot com ngara23 watakua wanakumbuka hii.
 
Hapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka

Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu

Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch 🤣😅
Kimeumana

Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
Ila kajinga wewe una fitina! Eti mtu mzima kusumbuka!
 
Mimi ni mjomba wako hupaswi kuniita kijana,
Tulimtoa Zamaleki Enzi hizo ni wa moto 2003,niko Taifa Joseph Kaniki Golota.
Sijui Ulikua wapi wewe mjomba wangu.
Mzee mwenzangu OKW BOBAN SUNZU Kalpana Mshangazi dot com ngara23 watakua wanakumbuka hii.
Sawa Mjomba. Muhimu tu mkitolewa, basi mkubali matokeo. Hakuna sababu ya kuwalaumu akina Mangungu, Matola, Joshua Mutale, Steven Mukwala, Shomari Kapombe, na mastaa wengine wa timu.
 
Back
Top Bottom