Simba watambulisha jezi zao mpya kwa ajili ya Mapinduzi na Kombe la Shirikisho

Simba watambulisha jezi zao mpya kwa ajili ya Mapinduzi na Kombe la Shirikisho

Ila huyo vunjabei mwambieni aongeze ubunifu kidogo, jezi zimepoa kinoma yani ..
 
Ila huyo vunjabei mwambieni aongeze ubunifu kidogo, jezi zimepoa kinoma yani ..
Vunja bei( low quality) na ubunifu wapi na wapi jombaa? Usijali mkuu unaweza ongeza idadi ya matambala ya kudekia nyumbani kwako
 
PUNGUZA MAKASIRIKO JOMBAA? MBONA UNAPANIC [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Nimekujibu kwa namna ulivyoandika mr uto…!!!
Naona umepigwa na kitu kizito unajiliwaza!
Pole bwana utopolo, nasubirii uniambie yale matambara ya visit kilim/zanz mlikwenda kuyachomea wapi…!? Maana mlipigwa na kitu kizito na hasara ambayo litimu lako liliipata maana hazikuuzika kabisa, ni bora hata mngepanda nyasi pale kaunda!
 
Vunja bei( low quality) na ubunifu wapi na wapi jombaa? Usijali mkuu unaweza ongeza idadi ya matambala ya kudekia nyumbani kwako

Yale matambara yenu utopolo ya visit kilim/zanz mbona hamyazungumzii sasa hivi…? Maana yale majezi hakuna hata mwanautopolo anayethubutu kuyavaa, pamoja na kuwa na mbwembwe kwenye uzinduzi!
Simba kwa sasa siyo kauka nikuvae, nyie endeleeni na style hiyo hiyo ya kauka nikuvae hadi zitoboke matakoni tu…
 
Jezi za mchongo, huko China itakuwa wanapima kilo
 
Yale matambara yenu utopolo ya visit kilim/zanz mbona hamyazungumzii sasa hivi…? Maana yale majezi hakuna hata mwanautopolo anayethubutu kuyavaa, pamoja na kuwa na mbwembwe kwenye uzinduzi!
Simba kwa sasa siyo kauka nikuvae, nyie endeleeni na style hiyo hiyo ya kauka nikuvae hadi zitoboke matakoni tu…
Naona una upungufu mkubwa wa madekio, nakushauri kanunue dekio jipya ilo kutoka kwa vunja bei
 
Kwenye picha uzi umetulia sana, ila sasa ukikutana nao live [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utajua kwanini anaitwa vunja bei
Yanga wanao Kaunda stadium na Simba Mo arena
 
Yani umekaa sehemu mtu amekula uzi wake ukiangalia unaona maneno kama NIKE, FLY EMIRATES,CHEVROLET,ADIDAS alafu linapita jitu limevaa bonge la suruali la kitambaa na li jezi limeandikwa Vunja bei sijui mo halisi. Unajiuliza hivi hili jamaa ni timamu kweli au ni kichaa huyu au ndio kurogwa
 
Mtu Kupigwa 7 na Simba Sio habari itayouza Sana Gazeti hapa Kwetu Tanzania
Labda Mnyama Afungwe gazeti Watauza.
Sababu kwa sasa S.S.C ni next Level.! Mijadala yetu ijikite angle nyingine.

Jezi Za Leo walizotinga Wachezaji Wa Simba Ziliwapendezesha saaana!

Huo Mzigo Mpya Wa Jezi Tunauhitaji saaana.
Fred Vunjabei Tujuze hali Ya Soko.
 
Usiku kama huu unaacha kumt@mba mkeo ujenge heshima, umekalia kuanzisha mada ya kijinga, mwenzi nikimaliza kucomment hapa napiga cha sita then nalala asubuhi namalizia viwili.
chizi kurogwa tena
 
Usiku kama huu unaacha kumt@mba mkeo ujenge heshima, umekalia kuanzisha mada ya kijinga, mwenzi nikimaliza kucomment hapa napiga cha sita then nalala asubuhi namalizia viwili.
[emoji39][emoji39]piga papuchi mida yenyewe hii, mimi nipo halftime
 
Back
Top Bottom