Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vunja bei( low quality) na ubunifu wapi na wapi jombaa? Usijali mkuu unaweza ongeza idadi ya matambala ya kudekia nyumbani kwakoIla huyo vunjabei mwambieni aongeze ubunifu kidogo, jezi zimepoa kinoma yani ..
PUNGUZA MAKASIRIKO JOMBAA? MBONA UNAPANIC [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Vunja bei( low quality) na ubunifu wapi na wapi jombaa? Usijali mkuu unaweza ongeza idadi ya matambala ya kudekia nyumbani kwako
Kuna timu bila jezi mkuu ndugu yangu.TUNATAKA MAENDELEO YA TIMU SIO MIJEZI YA KUVUNJA BEI
Naona una upungufu mkubwa wa madekio, nakushauri kanunue dekio jipya ilo kutoka kwa vunja beiYale matambara yenu utopolo ya visit kilim/zanz mbona hamyazungumzii sasa hivi…? Maana yale majezi hakuna hata mwanautopolo anayethubutu kuyavaa, pamoja na kuwa na mbwembwe kwenye uzinduzi!
Simba kwa sasa siyo kauka nikuvae, nyie endeleeni na style hiyo hiyo ya kauka nikuvae hadi zitoboke matakoni tu…
D😀😀😀.nimecheka aisee.Matambara ya deki yanazidi kuongezeka
Yanga wanao Kaunda stadium na Simba Mo arenaKwenye picha uzi umetulia sana, ila sasa ukikutana nao live [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utajua kwanini anaitwa vunja bei
PUNGUZA MAKASIRIKO JOMBAA? MBONA UNAPANIC [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Tanteeeeeh boss kubwa nichukulie, nasubiri hapa.Nakuchukulia
chizi kurogwa tenaUsiku kama huu unaacha kumt@mba mkeo ujenge heshima, umekalia kuanzisha mada ya kijinga, mwenzi nikimaliza kucomment hapa napiga cha sita then nalala asubuhi namalizia viwili.
[emoji39][emoji39]piga papuchi mida yenyewe hii, mimi nipo halftimeUsiku kama huu unaacha kumt@mba mkeo ujenge heshima, umekalia kuanzisha mada ya kijinga, mwenzi nikimaliza kucomment hapa napiga cha sita then nalala asubuhi namalizia viwili.