kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Mwamnyeto na Bacca wamecheza vizuri
Pengo la kapombe na Mohamed halijaonekana, Yanga inaongoza league, Simba tumepangiwa na Al Ahly Super League, wachezaji wetu bado mfumo hawajaelewana.
Simba we dont deserve this pain wallahi..[emoji24][emoji24][emoji24]