pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Lucy aymelEden Rage
"Tatizo Wana Simba ni Mbumbumbu"
"Mashabiki wa yanga na viongozi hawajui mpira wanapiga kelele kama manyni "
Mwisho wa kunukuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucy aymelEden Rage
"Tatizo Wana Simba ni Mbumbumbu"
Dube alifanyiwa faulo nje ya 18 karudie vizuri.Huyu huyu Arajiga aliyemwacha Bajana bila red card kwa rafu za wazi ndo amehongwa? Wewe kweli una njaa. Nawaambia lawama zangu kwa marefa si kuhongwa isipokuwa hawajui wanachokifanya. Ukiuliza kwa nini Dube kanyimwa penati anasema ilikuwa fair challenge.
Debrune wa manzese bila msaada wa refa aragije msinge pata drooFei vua kinyago chako tumegundua we ni Debrune.
Kila mtu ashinde mechi zake...mechi 41 still hatujapoteza mechi yoyote..Debrune wa manzese bila msaada wa refa aragije msinge pata droo
Makolo mtakufa kwa presha na chuki nyambafu.
uko sahihi kabisa, ndiyo maana tunataka kina Try againa wafungulie booster ili na sisi tufike hizo mechi unbeaten maana niikukumbuka ile ya namungo..ile ya ruvu na hii ya jana.... 😁 😀Kila mtu ashinde mechi zake...mechi 41 still hatujapoteza mechi yoyote..
Hii wanajifanya kuisahau!!!Chambua hapaView attachment 2348508
Simba kila mwaka inafika angalau robo fainali. Utopolo wanaishia wapi? Mechi ya kwanza au ya pilialie toboa kimataifa ni nani? waamuzi wa bongo ni janga ila ushabiki hua unatufanya tunakua vipofu angalia hapa[emoji116]View attachment 2348534
Salim try again BEBA HILI JUKUMU kama huliwezi mkabidhi Kassim Dewji au kaduguda, katoeni pesa za MBET hizo benki HONGENI KAMA WENGINE , hoooongaa hadi ma ball boys sambaza hadi kwa makanjanja machambuzi ya redio za wilayani,mikoani hadi redio zinazotangaza lugha asili...CHAFUA KILA MAHALA NA PESA
Ila try again asisahau kuwahonga na akina bocco na kibu ili wasiwe wanakosa magoli ovyo vinginevyo muindi ataonga na mpka atafilisi mali za urithi na bdo mtaendelea kulia tu shida ya watu wengi wa Simba hawataki kukubali madhaifu ya timu yao ila wamebakia kwenye hoja dhaifu yaani yanga ikishinda bahasha ila Simba ikishinda chama nomaSalim try again BEBA HILI JUKUMU kama huliwezi mkabidhi Kassim Dewji au kaduguda, katoeni pesa za MBET hizo benki HONGENI KAMA WENGINE , hoooongaa hadi ma ball boys sambaza hadi kwa makanjanja machambuzi ya redio za wilayani,mikoani hadi redio zinazotangaza lugha asili...CHAFUA KILA MAHALA NA PESA
Mmechelewa!Hili suala lichukuliwe serious nawaomba jamani, kina try again fanyieni kazi, leo mmeona wazi ndugu Aragija alivyojizima data akajifanya mwendawazimu hata kale ka nyumba chake huko manyara atakamalizia sasa.
Suala la technics, sijui tactics wekezeni kwa ajili ya michezo ya CAF kwa huku NBC tengeni fungu kubwa la bahasha ikibidi katoeni kwenye zile pesa za MBET.
Ubaya ubaya tu, ni kumwaga mpunga kwa marefa, wasaidizi wake hadi ma ball boys, LIWALO NA LIWE KUDAAADEEEKI.
Ikibidi pia na wachambuzi makanjanja njaa nao wapewe bahasha si mmeona leo wanavyomtetea Aragija?bahasha za Pwagu hizo zinaongea, MWAGA MAPESA MWAGA MAPEEEESAAAAAAAAAAA
View attachment 2348190
Wenzenu wakisajili nyie mlikuwa mnanunua mabasi, matokeo yake ndio haya.Hili suala lichukuliwe serious nawaomba jamani, kina try again fanyieni kazi, leo mmeona wazi ndugu Aragija alivyojizima data akajifanya mwendawazimu hata kale ka nyumba chake huko manyara atakamalizia sasa.
Suala la technics, sijui tactics wekezeni kwa ajili ya michezo ya CAF kwa huku NBC tengeni fungu kubwa la bahasha ikibidi katoeni kwenye zile pesa za MBET.
Ubaya ubaya tu, ni kumwaga mpunga kwa marefa, wasaidizi wake hadi ma ball boys, LIWALO NA LIWE KUDAAADEEEKI.
Ikibidi pia na wachambuzi makanjanja njaa nao wapewe bahasha si mmeona leo wanavyomtetea Aragija?bahasha za Pwagu hizo zinaongea, MWAGA MAPESA MWAGA MAPEEEESAAAAAAAAAAA
View attachment 2348190
Hawa akina KIBU, Kyombo, Bocco sijui wanajisikiaje wakijisoma wanavyonangwa humu kwenye JF, mpaka naanza kuwaonea huruma.