Manchester City mwaka 2020 alikuwa nafasi ya 5 saizi kapanda nafasi mbili kawa wa 3, yani kawazidi watu wawili tu
Simba alikuwa nafasi ya 361 saizi yupo nafasi ya 98 kwa maana ya kwamba kawapita watu 263
Kutoka alipo simba mpaka nafasi alipo Man City hapo katikati kuna vichwa kama 93
Hii ni speed ambayo inamkatisha tamaa sana Man City na kumkosesha amani sana kwenye nafasi aliyokaa