Simba ya 98 kwa ubora duniani

Oscar sio reference na hatakuja kuwa reference ila kweli kolos mnapenda sana kuongopewa
Tumeongopewa na nani?

Mimi nimekuambia IFFHS wamepewa authority na FIFA yani kiufupi ni taasisi ambayo inatambulika na FIFA

Kama unaona nadanganya, nimekupa kazi ya kuniambia ni nani aliyewapa idhini hao IFFHS kuweka rank, hujaniambia mpaka muda huu unakazania kunipa tweets za oscar oscar
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mashabiki wa simba wale wakalia sindano tu, ndio watatetea huu ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…