Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu poleniHii ndio simba mbovu kuwahi kuishihudia kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni ,timu ni nzito ,washambuliaji hawaeleweki ,wings ni butuabutua tu ,mwaka huu tumekwisha kabisa
Mwana UTOOO katika ubora wakeHii ndio simba mbovu kuwahi kuishihudia kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni ,timu ni nzito ,washambuliaji hawaeleweki ,wings ni butuabutua tu ,mwaka huu tumekwisha kabisa
Mbona wengine wanafurahiaTumeshinda kwa taabu mbele ya timu mbovu sana ! Tumeshinda lakini hatuna furaha ,
Wameyataka wenyewe kitu gani kilicho wafanya wachelewe kushughulikia vibali vya wachezaji wao watano,acha wapigwe.Hii ndio simba mbovu kuwahi kuishihudia kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni ,timu ni nzito ,washambuliaji hawaeleweki ,wings ni butuabutua tu ,mwaka huu tumekwisha kabisa
Hiyo nafasi ya 7 umeipata kwa msimu huu? Mtu anaongelea msimu huu wewe Unazungumzia mafanikio ya CAF ya msimu uliopitaUpo sahihi kabisa.
Tupo nafasi ya 7 kwa Ubora Africa.
Wenye mpira mzuri sijui wako position gani.
Baada ya kuandika huu uzi, mwenzako kanena .....Awesu Awesu fundi wa boli, nna hakika ipo siku mtu anakula 8Hii ndio simba mbovu kuwahi kuishihudia kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni ,timu ni nzito ,washambuliaji hawaeleweki ,wings ni butuabutua tu ,mwaka huu tumekwisha kabisa
UtoHii ndio simba mbovu kuwahi kuishihudia kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni ,timu ni nzito ,washambuliaji hawaeleweki ,wings ni butuabutua tu ,mwaka huu tumekwisha kabisa