The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Hapo siwezi tena endeleaMolaa duhu...๐๐๐
Ila Camara ni kipa mzuri pia worry out
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo siwezi tena endeleaMolaa duhu...๐๐๐
Kwani najua basi? Nimekaa huko nimeambulia vi maneno vichache...Hapo siwezi tena endelea
Ila Camara ni kipa mzuri pia worry out
Alitaka kuondoka na mjomba yake Benchikah wakamuomba abaki ameenda kujinenepesha maksudi asepeKwa hio ndio maana halisi ya Ubwela?
Na huo ndio Ubwela si ndio?Alitaka kuondoka na mjomba yake Benchikah wakamuomba abaki ameenda kujinenepesha maksudi asepe
Yah,Cha muhimu tusipoteze mechi na Yanga hata moja,nimechoka kuchekwa na wifi yako aisee.Kwani najua basi? Nimekaa huko nimeambulia vi maneno vichache...
Sure...let's trust the process
Udugu umalaNa huo ndio Ubwela si ndio?
Waukae Ubaya U.....?Udugu umala
Mkikutana na Yanga ni mwendo wa kupuliza Moto kwanza waambieni wachezaji wa Ubwela FC wafanye mazoezi juu ya moto unaowaka kuni za magogo wakimaliza wakapige tizi kwenye mabarafu km wapo kwenye mafriza ya kuhifadhia Samaki wasioze wakimaliza wakacheze mpira Chini ya maji dakika 90 kujenga pumzi hapo kidogo kidoogo watawasumbua Yanga kinyume na hapo ni mwendo wa vipigo tuYah,Cha muhimu tusipoteze mechi na Yanga hata moja,nimechoka kuchekwa na wifi yako aisee.
Mipunga mingi siku hiziWe Jamaa Msenge fulani
Usini quote tena wewe ngapu
Kacheze na watoto wenzio ndio maana nilikua nasikia harufu ya mikojo hapaUsini quote tena wewe ngapu
We Jamaa Msenge fulani
Anafanya upasuaji wa nyama za paja. Hata dirisha lingekuwa wazi na akapata timu, bado kwanza angefanyiwa upasuajiKwaio ayubu anaenda wapi na dirisha limefungwq
Dogo tulia basi ukichat na wakubwa uwe unatulia Mimi madogo wasumbufu wasumbufu hua nawatembezea makwenzi tuliandio madhara ya kula Supu ya kibudu hayo,
Yiki duhu, duu. Duhu ni chiu.Molaa duhu...๐๐๐
Mhhhhh ๐๐ Shimba ya Buyenze hebu tusaidie hapa kaka angu....Yiki duhu, duu. Duhu ni chiu.
Hahahha๐๐๐pole jamani...Yah,Cha muhimu tusipoteze mechi na Yanga hata moja,nimechoka kuchekwa na wifi yako aisee.
Umo salama kwa kweli chura wanakeraHahahha๐๐๐pole jamani...
Mm familia nzima ni wana msimbazi...hivyo hakuna wa kumcheka...
Hiki siyo Kisukuma sis. Labda ni Kibarabaig au Kitindiga ๐คฃMhhhhh ๐๐ Shimba ya Buyenze hebu tusaidie hapa kaka angu....