Nkwabi ni mmeo bila shaka... (kila nukta unamtaja)Wazee wa kukurupuka hata TFF hawana Habari maana mtaona aibu mkipigwa stop mtu ukishabikia Mbumbumbu/Bodaboda/Mikia FC akili inahama mwambie mo aweke b20 zinatakiwa hivi hujiulizi kwanini Nkwabi aliachia ngazi
Usijifiche kwenye mgongo wa simba, mboba yanga hamjiamini , mna nini lakiniMimi ni Simba damu, ila huyu gabachori anapotupeleka siyo jamani.
Lengo la Simba Super Cup unalielewa lakini?
Hamna ubunifu hapo wamwcopy na kupaste tuu. Haya mashindano yalishafanyikaga nakumbu azam fc waendaga congo na mwaka uliofuata waenda zambia
Wazee wa kukurupuka hata TFF hawana Habari maana mtaona aibu mkipigwa stop mtu ukishabikia Mbumbumbu/Bodaboda/Mikia FC akili inahama mwambie mo aweke b20 zinatakiwa hivi hujiulizi kwanini Nkwabi aliachia ngazi
Sasa tatizo lipo wapi? Hutaki waige kilicho chema?Hamna ubunifu hapo wamwcopy na kupaste tuu. Haya mashindano yalishafanyikaga nakumbu azam fc waendaga congo na mwaka uliofuata waenda zambia
Kwani yeye hajui au alikuwa anatusanifu?kwani kama ungemjibu vizuri ungepungukiwa nn?
Sio kila anayeikosoa simba ni yanga cha muhimu jadili hoja yakeUsijifiche kwenye mgongo wa simba, mboba yanga hamjiamini , mna nini lakini
Kuiga ndio neno sahihi. Kuiga unaruhusiwa but usiseme ni ubunifu.Sasa tatizo lipo wapi? Hutaki waige kilicho chema?
Presha ipi tena jameni wakati sie tunaongoza ligi na tumewafunga na paka wenu kule zenjiKanunue kalenda mkuu, huku utapata presha
Nyani kwenye ubora wenu, MO aweke 20b kwenye account ya nani?. Simba sio wajinga kama mlivyo ninyi Utopolo. Mchakato bado haujaisha hadi utakapo pitishwa FCC.Wazee wa kukurupuka hata TFF hawana Habari maana mtaona aibu mkipigwa stop mtu ukishabikia Mbumbumbu/Bodaboda/Mikia FC akili inahama mwambie mo aweke b20 zinatakiwa hivi hujiulizi kwanini Nkwabi aliachia ngazi
Nilikua nabisha kuwa Barbara ni zaidi ya Senzo.
Sasa rasmi nimekubali Barbara C.E.O wa Simba ni bora maramia kwa Senzo ambae ni mshauri wa Utopoloni.
Senzo alishindwa kazi ndogo ya kutuletea kocha boraNilikua nabisha kuwa Barbara ni zaidi ya Senzo.
Sasa rasmi nimekubali Barbara C.E.O wa Simba ni bora maramia kwa Senzo ambae ni mshauri wa Utopoloni.
Akaenda kufanya kazi kubwa ya kuzindua kalenda ya klabu mfu.Senzo alishindwa kazi ndogo ya kutuletea kocha bora
Kwa muda mchache tu C.E.O mpya wa Simba kafanya mambo makubwa ukilinganisha na aliemtangulia.Mkuu NAWATAFUNA kuna uwezekano ukawa sahihi katika uliyoyasema, Sasa hebu dadavua kidogo huo ubora wa CEO Barbara against ubora wa Senzo.
Ahsante
Anaiaminisha club ikifungwa inahujumiwa, bado anawaaminisha mkataba wa Morison Simba ni fekiKwa muda mchache tu C.E.O mpya wa Simba kafanya mambo makubwa ukilinganisha na aliemtangulia.
Senzo kwa nafasi yake na weredi alionao kule kwa jirani pia kashindwa kabisa kupenyeza alichonacho kubadili fikra za klabu yake mpya,badala yake na yeye katekwa kawa zuzu kama aliowakuta.