Simba yadaiwa kutaka kumrejesha Kichuya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio taarifa inayosambaa kwa kasi mitandaoni kwa sasa , kiasi cha kuzua mgogoro kati ya Simba na Namungo FC.

Namungo inalalamikia rafu zinazochezwa na Simba kwenye suala la Kichuya huku ikijinasibu kwamba Kichuya ni mchezaji wao halali .
 
Simba SC a.k.a Kolowizard wamechooooka mbaya, yaani wao kazi Ni kuvizia vya bure
 
Ina maana imefika wakati Simba inagombea mchezaji na Sindida au Namungo kweli nimeamini Dunia duara.
Sasa rasmi Yanga Bingwa 2022/2023.
Uto...tuendelee kuijenga timu yetu kujiandaa na msimu mpya wa mashindano,hayo ya kolo tuwaachie wao.

...Daima mbele nyuma Mwiko..
 
Ina maana imefika wakati Simba inagombea mchezaji na Sindida au Namungo kweli nimeamini Dunia duara.
Sasa rasmi Yanga Bingwa 2022/2023.
Hii simba ya mwaka huu ni majanga matupu! Yaani wanashindwa hata kuvunja mkataba wa mchezaji wa Namungo Fc!

Wanashindwa vipi kuwaiga Yanga waliovunja mikataba ya akina Dickson Job, Kibwana Shomari na Abutwalib Mshery kutoka Mtibwa sugar?
 
Kumbuka Namungo ni kubwa kuliko Yanga . Namungo ana point 2 caf huku Yanga akiwa na point 0.5. Namungo wa 68 caf Yanga 138 japo Yanga ni mkongwe kuliko Namungo.
Hizo pints 2 zinamsaidia nini huyo Namungo?! Na hiyo nafasi ya 68 inampeleka wapi sasa?! Au kaingiza sh ngapi kwa hizo points na hiyo nafasi yake ya 68?! Kuna muda tuache kushabikia ujinga tuongee vitu sensible kwa manufaa ya mpira wetu na clubs husika. Waambie Namungo wapambane ili tuwaone kwenye mashindano ya kimataifa frequently wataingiza pesa au wabebe makombe ya domestic league itakua na manufaa kwao na kwa taifa zaidi ya hizo points 2 na nafasi ya 68
 
Ina maana imefika wakati Simba inagombea mchezaji na Sindida au Namungo kweli nimeamini Dunia duara.
Sasa rasmi Yanga Bingwa 2022/2023.
Ni sajiri bora sana ukifuatilia simba msimu huu tumepoteza points nyingi ugenini,ambazo tulikua tunazipata tukiwa na wachezaji wazawa kama dilunga,Bocco,kichuya enzi yupo,mkude, Simba ndio timu iliyochukua points nyingi uwanja wa nyumbani kuliko timu zote za NBC PL kwaio changamoto ya simba msimu huu ukiacha safu butu ya ushambuliaji pia ni kushindwa kuchukua points 3 kwenye viwanja vya ugenini.

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
We unafikiri kwanini Yanga analilia kufika angalau tu makundi ?Ni kwamba hizo point kwakwe Zina Maana kubwa sana.Na hili kulibaini hadi uwe shabiki mwenye jicho la kuona mbali.

Shabiki wa kawaida hawezi kujua thamani ya point 2 za Namungo huko caf
 
Hii ndio taarifa inayosambaa kwa kasi mitandaoni kwa sasa , kiasi cha kuzua mgogoro kati ya Simba na Namungo FC.

Namungo inalalamikia rafu zinazochezwa na Simba kwenye suala la Kichuya huku ikijinasibu kwamba Kichuya ni mchezaji wao halali .
Simba nao wamerogwa na nani sijui?
 
We unafikiri kwanini Yanga analilia kufika angalau tu makundi ?Ni kwamba hizo point kwakwe Zina Maana kubwa sana.Na hili kulibaini hadi uwe shabiki mwenye jicho la kuona mbali.

Shabiki wa kawaida hawezi kujua thamani ya point 2 za Namungo huko caf
Ndio wanataka kuanza ugenini kisa mabingwa
 
Kumbuka Namungo ni kubwa kuliko Yanga . Namungo ana point 2 caf huku Yanga akiwa na point 0.5. Namungo wa 68 caf Yanga 138 japo Yanga ni mkongwe kuliko Namungo.
Imagine serikkali inatenga budget kuhesabu majiitu majinga kama hili! kwahio unataka kuniambia Yanga iliyo ingia makundi CAF confederation inazidiwa na Namungo iliyo ingia mara moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…