Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio taarifa inayosambaa kwa kasi mitandaoni kwa sasa , kiasi cha kuzua mgogoro kati ya Simba na Namungo FC.
Namungo inalalamikia rafu zinazochezwa na Simba kwenye suala la Kichuya huku ikijinasibu kwamba Kichuya ni mchezaji wao halali .
Namungo inalalamikia rafu zinazochezwa na Simba kwenye suala la Kichuya huku ikijinasibu kwamba Kichuya ni mchezaji wao halali .