Simba yafungwa 1-0 na AS Arta Solar (timu ya kina Alex Song, Kalou)

Simba yafungwa 1-0 na AS Arta Solar (timu ya kina Alex Song, Kalou)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Simba imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Arta Solar kwa kufungwa goli 1-0 kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, leo Septemba 3, 2022.

Licha ya kutawala mchezo huo kwa muda mwingi Simba iliruhusu goli hilo katika dakika ya 88.

Mchezo huo ulikuwa ni maalum kwa #Simba kujiandaa na Ligi ya Mabingwa Afrika kama ilivyo kwa AS Arta Solar ya Djibouti ambayo mastaa wa timu hiyo ni Alex Song na Salomon Kalou.
 
Lililo mfukuzisha kocha gomez kwa mugalu ndio hilo hilo litamuondoa zoran kwa mzungu
 
Sasa maneno yataanza tena! Mashabiki wa makolo wataibuka sasa kuanza kuhoji bilioni 20, uhusiano wa Barbra na Mo, mzungu ni mchezaji au shahidi wa Yehova na vyeti vya kocha

Walinyamaza katikati hapa sababu mzungu alifunga goli
 
Sasa maneno yataanza tena! Mashabiki wa makolo wataibuka sasa kuanza kuhoji bilioni 20, uhusiano wa Barbra na Mo, mzungu ni mchezaji au shahidi wa Yehova na vyeti vya kocha

Walinyamaza katikati hapa sababu mzungu alifunga goli
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa maneno yataanza tena! Mashabiki wa makolo wataibuka sasa kuanza kuhoji bilioni 20, uhusiano wa Barbra na Mo, mzungu ni mchezaji au shahidi wa Yehova na vyeti vya kocha

Walinyamaza katikati hapa sababu mzungu alifunga goli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hayo huwa mn
Sasa maneno yataanza tena! Mashabiki wa makolo wataibuka sasa kuanza kuhoji bilioni 20, uhusiano wa Barbra na Mo, mzungu ni mchezaji au shahidi wa Yehova na vyeti vya kocha

Walinyamaza katikati hapa sababu mzungu alifunga goli
Hayo huwa mnayauliza ninyi utopolo isipokuwa Sunday Manara na JK wenye akili
 
Back
Top Bottom