Simba yafungwa 1-0 na AS Arta Solar (timu ya kina Alex Song, Kalou)

Simba yafungwa 1-0 na AS Arta Solar (timu ya kina Alex Song, Kalou)

Makolo mna timu mbovu mmefungwa na wavuvi ambao wanajikusanya uwanjani baada ya kushinda baharini siku nzima wakivua
 
Makolo mna timu mbovu mmefungwa na wavuvi ambao wanajikusanya uwanjani baada ya kushinda baharini siku nzima wakivua
[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20220727_222021.jpg
 
Leo ndo nimeamini muzungu ni mzigo kuliko kiroba cha mkaa.
Hakuna mchezaji
Sielewi kwanin Kocha asimpe mazoezi maalumu, Jamaa anawachosha wenzake sana. Sishangai muda mwingine viongozi kuingilia maamuzi ya kocha. Jamaa hana impact kabisa kwenye timu
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom