Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Makolo mna timu mbovu mmefungwa na wavuvi ambao wanajikusanya uwanjani baada ya kushinda baharini siku nzima wakivua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Makolo mna timu mbovu mmefungwa na wavuvi ambao wanajikusanya uwanjani baada ya kushinda baharini siku nzima wakivua
Sielewi kwanin Kocha asimpe mazoezi maalumu, Jamaa anawachosha wenzake sana. Sishangai muda mwingine viongozi kuingilia maamuzi ya kocha. Jamaa hana impact kabisa kwenye timuLeo ndo nimeamini muzungu ni mzigo kuliko kiroba cha mkaa.
Hakuna mchezaji