redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Kama kunamtu wa kumshauri Ali salim Golikipa namba tatu wa Simba uongozi wa mchezaji umtafutie haraka timu ya kucheza ata nje ya mipaka ya Tanzania au Zanzibar ambako dirisha la usajili halijafungwa akacheze.
Anajiamini na ana uwezo, Kuendelea kukaa bila kucheza kutaua kipaji chake kabla hakika fahamika Kwa wengi na kumsaidia kimaisha.
Anajiamini na ana uwezo, Kuendelea kukaa bila kucheza kutaua kipaji chake kabla hakika fahamika Kwa wengi na kumsaidia kimaisha.