JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
aliekwambia kuna mda.maalum wa kucheza.mpira ni naniDuuh apo mechi yenyewe imechezwa saa ngap mbona bado ni asubuhi mkuu??
Mzungu apewe muda, timu yote kwa ujumla inacheza show game siyo mpira malengoLeo ndo nimeamini muzungu ni mzigo kuliko kiroba cha mkaa.
Hakuna mchezaji
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa maneno yataanza tena! Mashabiki wa makolo wataibuka sasa kuanza kuhoji bilioni 20, uhusiano wa Barbra na Mo, mzungu ni mchezaji au shahidi wa Yehova na vyeti vya kocha
Walinyamaza katikati hapa sababu mzungu alifunga goli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa maneno yataanza tena! Mashabiki wa makolo wataibuka sasa kuanza kuhoji bilioni 20, uhusiano wa Barbra na Mo, mzungu ni mchezaji au shahidi wa Yehova na vyeti vya kocha
Walinyamaza katikati hapa sababu mzungu alifunga goli
Show game usingeona on target...wamecheza wame create chances WamefungwaMzungu apewe muda, timu yote kwa ujumla inacheza show game siyo mpira malengo
Okwa[emoji777]Mzungu apewe muda, timu yote kwa ujumla inacheza show game siyo mpira malengo
ππππLeo ndo nimeamini muzungu ni mzigo kuliko kiroba cha mkaa.
Hakuna mchezaji
Sitaki tena Mtu aniambie ujinga kuhusu huo mzigo.Leo ndo nimeamini muzungu ni mzigo kuliko kiroba cha mkaa.
Hakuna mchezaji
Kuna watu wanamuona Okwa bonge la mchezaji? Duh!Okwa[emoji777]
Lete mdhungu[emoji777]
Akpan[emoji777]
Kwa ujumla katika suala la usajili viongozi wa simba wamezingua Sana safari hii.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ameonesha hivyo mechi ya Al Hilal.KAPAMA ni bora kuliko Outtara.
Nusu fainali unaiona mkuu? nje ya ushabikiLililo mfukuzisha kocha gomez kwa mugalu ndio hilo hilo litamuondoa zoran kwa mzungu
Hayo huwa mnayauliza ninyi utopolo isipokuwa Sunday Manara na JK wenye akiliSasa maneno yataanza tena! Mashabiki wa makolo wataibuka sasa kuanza kuhoji bilioni 20, uhusiano wa Barbra na Mo, mzungu ni mchezaji au shahidi wa Yehova na vyeti vya kocha
Walinyamaza katikati hapa sababu mzungu alifunga goli