Iko wapi sasaNusu fainali unaiona mkuu? nje ya ushabiki
🤣🤣🤣🤣🤣 Alisema mourinho timu kubwa ikianza kusema tulicheza vizuri lakini imefungwa basi hao sio timu kubwa tena. Sasa nyie ndiko mnakoelekeaNilijua tuu utaniitaa. Ila boli la Simba umelionaaa hao wageni wamebahatisha tuu hyo dkk ya 90 kasoro mbili
Siyo wanakoelekea Bali ndo walikofikia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alisema mourinho timu kubwa ikianza kusema tulicheza vizuri lakini imefungwa basi hao sio timu kubwa tena. Sasa nyie ndiko mnakoelekea
Bado sisi ni timu kubwa hilo halina ubishi mkuu..yani nikisema ukubwaa namaanisha kila angle. Sasa bila kufungwa mngetoa wapi leo cha kuongea? Kwani mzungu anasemaje huko?🤣🤣🤣🤣🤣 Alisema mourinho timu kubwa ikianza kusema tulicheza vizuri lakini imefungwa basi hao sio timu kubwa tena. Sasa nyie ndiko mnakoelekea
Huyu kipa anajua aisee beno kakolanya haoni ndani kwa huyu dogo..Kama kunamtu wa kumshauri Ali salim Golikipa namba tatu wa Simba uongozi wa mchezaji umtafutie haraka timu ya kucheza ata nje ya mipaka ya Tanzania au Zanzibar ambako dirisha la usajili halijafungwa akacheze.
Anajiamini na ana uwezo, Kuendelea kukaa bila kucheza kutaua kipaji chake kabla hakika fahamika Kwa wengi na kumsaidia kimaisha.
Leo mtani umeongea vizuri sana. Ally save zake zote ni za hatari.Kama kunamtu wa kumshauri Ali salim Golikipa namba tatu wa Simba uongozi wa mchezaji umtafutie haraka timu ya kucheza ata nje ya mipaka ya Tanzania au Zanzibar ambako dirisha la usajili halijafungwa akacheze.
Anajiamini na ana uwezo, Kuendelea kukaa bila kucheza kutaua kipaji chake kabla hakika fahamika Kwa wengi na kumsaidia kimaisha.
Leo mtani umeongea vizuri sana. Ally save zake zote ni za hatari.
Mzungu ni gunia la misumaliLeo ndo nimeamini muzungu ni mzigo kuliko kiroba cha mkaa.
Hakuna mchezaji
Ndio maana nilikuwa nashangaa kwa nini ali salum hachezi lakini simba hawamtoi kwa mkopo au kumwachia leo ndo nimepata majibu kakolanya hamuwezi hata kidogo footwork yake na confidence ipo juu sana.Kama kunamtu wa kumshauri Ali salim Golikipa namba tatu wa Simba uongozi wa mchezaji umtafutie haraka timu ya kucheza ata nje ya mipaka ya Tanzania au Zanzibar ambako dirisha la usajili halijafungwa akacheze.
Anajiamini na ana uwezo, Kuendelea kukaa bila kucheza kutaua kipaji chake kabla hakika fahamika Kwa wengi na kumsaidia kimaisha.
Nani alikua 'Man of the Match?Simba imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Arta Solar kwa kufungwa goli 1-0 kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, leo Septemba 3, 2022.
Licha ya kutawala mchezo huo kwa muda mwingi Simba iliruhusu goli hilo katika dakika ya 88.
Mchezo huo ulikuwa ni maalum kwa #Simba kujiandaa na Ligi ya Mabingwa Afrika kama ilivyo kwa AS Arta Solar ya Djibouti ambayo mastaa wa timu hiyo ni Alex Song na Salomon Kalou.
Mzungu
Maisha bwana wewe maishaKama kunamtu wa kumshauri Ali salim Golikipa namba tatu wa Simba uongozi wa mchezaji umtafutie haraka timu ya kucheza ata nje ya mipaka ya Tanzania au Zanzibar ambako dirisha la usajili halijafungwa akacheze.
Anajiamini na ana uwezo, Kuendelea kukaa bila kucheza kutaua kipaji chake kabla hakika fahamika Kwa wengi na kumsaidia kimaisha.