Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Sep 3, 2022 #41 Makolo mna timu mbovu mmefungwa na wavuvi ambao wanajikusanya uwanjani baada ya kushinda baharini siku nzima wakivua
Makolo mna timu mbovu mmefungwa na wavuvi ambao wanajikusanya uwanjani baada ya kushinda baharini siku nzima wakivua
Azarel JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 28,916 Reaction score 40,479 Sep 4, 2022 #42 Prince Kunta said: Makolo mna timu mbovu mmefungwa na wavuvi ambao wanajikusanya uwanjani baada ya kushinda baharini siku nzima wakivua Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23]
Prince Kunta said: Makolo mna timu mbovu mmefungwa na wavuvi ambao wanajikusanya uwanjani baada ya kushinda baharini siku nzima wakivua Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23]
L Lubengera JF-Expert Member Joined Jun 21, 2019 Posts 963 Reaction score 1,551 Sep 4, 2022 #43 K11 said: Leo ndo nimeamini muzungu ni mzigo kuliko kiroba cha mkaa. Hakuna mchezaji Click to expand... Sielewi kwanin Kocha asimpe mazoezi maalumu, Jamaa anawachosha wenzake sana. Sishangai muda mwingine viongozi kuingilia maamuzi ya kocha. Jamaa hana impact kabisa kwenye timu
K11 said: Leo ndo nimeamini muzungu ni mzigo kuliko kiroba cha mkaa. Hakuna mchezaji Click to expand... Sielewi kwanin Kocha asimpe mazoezi maalumu, Jamaa anawachosha wenzake sana. Sishangai muda mwingine viongozi kuingilia maamuzi ya kocha. Jamaa hana impact kabisa kwenye timu