Simba yamhonga mwamuzi

Simba yamhonga mwamuzi

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
823
Reaction score
372
Imebainika yule mwamuzi aliochezesha mechi ya yanga na ruvu shooting alikula mlungula ili kuidhoofisha yanga kuelekea mechi ya yanga na mtibwa
Mpaka sasa uma wa wapenda soka hauelewi kwa nini alimwadhibu chirwa kwa kufunga goli halali na baadae kumpa kadi nyekundu ili kuimaliza yanga
Baada ya mechi ile aliulizwa mmoja wa wajumbe wa kamati ya saa 72 kama watakaa kwa haraka kuijadili adhabu ile alichojibu ni inategemea kama wataitwa kukaa mapema watakaa huku akionyesha hakuna mpango huo
Mjumbe huyo wa kamati ambae ni mnazi mkubwa wa simba kama wajumbe wengi wa kamati hiyo aliongeza sio kila tatizo linahitaji kuchukuliwa hatua mapema.
 
Imebainika yule mwamuzi aliochezesha mechi ya yanga na jkt ruvu alikula mlungula ili kuidhoofisha yanga kuelekea mechi ya yanga na mtibwa
Mpaka sasa uma wa wapenda soka hauelewi kwa nini alimwadhibu chirwa kwa kufunga goli halali na baadae kumpa kadi nyekundu ili kuimaliza yanga
Baada ya mechi ile aliulizwa mmoja wa wajumbe wa kamati ya saa 72 kama watakaa kwa haraka kuijadili adhabu ile alichojibu ni inategemea kama wataitwa kukaa mapema watakaa huku akionyesha hakuna mpango huo
Mjumbe huyo wa kamati ambae ni mnazi mkubwa wa simba kama wajumbe wengi wa kamati hiyo aliongeza sio kila tatizo linahitaji kuchukuliwa hatua mapema.
Jamaa limekurupuka, Yanga imecheza lini na jkt ruvu?
 
Ungesema Simba walimhonga yule refa aliyechezesha mechi ya Simba n Yanga ningekuelewa. Haiwezekani Simba wawe pungufu halafu Yanga wautafute kwa tochi namna ile. Haiwezekani Tambwe awe mtumishi hewa uwanjani. Haiwezekani mkata umeme ageuke kishoka. Haiwezekani Yondani n Dida nusura wazichape kavukavu katika pambano la ngumi lisilo na ubingwa. Yule refa lazima alichukua hela toka kwa Simba.
 
Kwanza Mushalipa Mishahara Ya Miezi 4 iliyipita Wachezaji Wenu? Manake Mulitumia Pesa Nyingi Kwa Kufanya Miamala Kwenye Mzunguko Wa Kwanza! Hatimae Mzunguko Huu Hamna Kitu Na Bosi Wenu Pesa Zake Kazielekeza Kujisafisha Kwenye Kesi Yake Ya DrugLord.... Kwahiyo Wacha Kwanza Nyie Chaneta FC Muanze Kutafuta mchawi sisi huku Simba Tunakula Burudani tu na Mnyama wetu.....
 
Imebainika yule mwamuzi aliochezesha mechi ya yanga na ruvu shooting alikula mlungula ili kuidhoofisha yanga kuelekea mechi ya yanga na mtibwa
Mpaka sasa uma wa wapenda soka hauelewi kwa nini alimwadhibu chirwa kwa kufunga goli halali na baadae kumpa kadi nyekundu ili kuimaliza yanga
Baada ya mechi ile aliulizwa mmoja wa wajumbe wa kamati ya saa 72 kama watakaa kwa haraka kuijadili adhabu ile alichojibu ni inategemea kama wataitwa kukaa mapema watakaa huku akionyesha hakuna mpango huo
Mjumbe huyo wa kamati ambae ni mnazi mkubwa wa simba kama wajumbe wengi wa kamati hiyo aliongeza sio kila tatizo linahitaji kuchukuliwa hatua mapema.
Ifike pahala mtoa post ukue kifikra na kimpira.... Unajua kwann mpira wa tanzania hauendeleei....n kwa sabab ya fikra uchwara kama zako....
 
Ungesema Simba walimhonga yule refa aliyechezesha mechi ya Simba n Yanga ningekuelewa. Haiwezekani Simba wawe pungufu halafu Yanga wautafute kwa tochi namna ile. Haiwezekani Tambwe awe mtumishi hewa uwanjani. Haiwezekani mkata umeme ageuke kishoka. Haiwezekani Yondani n Dida nusura wazichape kavukavu katika pambano la ngumi lisilo na ubingwa. Yule refa lazima alichukua hela toka kwa Simba.
😀😀😀😀😀
 
Kweli simba ni kiboko.Tuliwapiga bila huruma vyura mpaka wakaanza kuutafuta mpira kwa tochi. Kweli "Mwizi hudhani watu wote ni wezi kama yeye."
 
Back
Top Bottom