Simba yamhonga mwamuzi

Simba yamhonga mwamuzi

unatakiwa uweke ushahidi makosa ya mtandao ndio kama haya... Acha ichochezi no sawa na kusingizia watu wanatumia au kuuza madawa wakati huna ushahidi.
 
Bw mdogo ina maana yule beki wa simba alipigwa red siku ile ili simba ifungwe goli nyingi au kuirahisishia yanga ubingwa?
 
Imebainika yule mwamuzi aliochezesha mechi ya yanga na ruvu shooting alikula mlungula ili kuidhoofisha yanga kuelekea mechi ya yanga na mtibwa
Mpaka sasa uma wa wapenda soka hauelewi kwa nini alimwadhibu chirwa kwa kufunga goli halali na baadae kumpa kadi nyekundu ili kuimaliza yanga
Baada ya mechi ile aliulizwa mmoja wa wajumbe wa kamati ya saa 72 kama watakaa kwa haraka kuijadili adhabu ile alichojibu ni inategemea kama wataitwa kukaa mapema watakaa huku akionyesha hakuna mpango huo
Mjumbe huyo wa kamati ambae ni mnazi mkubwa wa simba kama wajumbe wengi wa kamati hiyo aliongeza sio kila tatizo linahitaji kuchukuliwa hatua mapema.
Acha porojo mkuu
 
Yanga yanga acheni kusema mnayoyafanya simba hana Hela za kuchezea Manji kabanwa mtahonga nini
 
We ndo umekulupuka sasa alocheza nao ni ruvu shutingi sio jkt
We kweli bashite, sasa hapo ndo umeongea nn? Hebu soma nlichoandika na ulichoandika wewe then pitia alichoandika mtoa post badala ya kukurupuka shirikisha ubongo kwanza
 
Back
Top Bottom