Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Malizia Cuf ya Lipumba.Simba wanamleta rais wa CAF na atakuwepo Simba day
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia Cuf ya Lipumba.Simba wanamleta rais wa CAF na atakuwepo Simba day
Binafsi sina hata mzuka tena wa Simba day ,uzembe na ujinga ,wanajua wanambadili mdhamini sportpesa halafu sijui vunjabei hana taarifa analeta mpya ya yenye nembo ya sportpesa wakati ni mbet ,wametutia aibu hata mzuka sinaIla Simba wamezingua sana yani mpaka dakika hii hawajatambulisha jezi
Sasa hiyo ya Lipumba unajua wewe kwa vile ni kimada wakeMalizia Cuf ya Lipumba.
Kweli inashangaza , jezi hazijafika, ninachoona watakuwa na jezi za wachezaji ila mashabiki waingie uwanjani kifuani sportpesa? Maana imebaki kesho tu hata watangaze Leo usiku ukweli ni kwamba siyo wote watapata au haitatosha,big shame to SimbaSasa Simba day inafanyikaje wakati "nguo za sikukuu" bado hazijafika? Au tutavaa zile zile Sports money?
Hivi bado una kifua cha kutuita makolo.?? Zile kolokolooooo zote kwenye zile jezi za vinyesi hukuziona mkuu. 😂😂😂. Ila mna majina VINYESI FC 😂😂😂😂😂Jipige kifua.....sema kwa sauti.....SISI NI MAKOLO
Yaani imenitoa kwenye mood,usajili tuko pamoja halafu jezi tu? Stupidity aiseeSimba mmeleta utoto kwenye jezi. Hiyo aibu bebeni wenyewe shwain
Kwa upo live Azam? Hamna watu uwanjaniHivi bado una kifua cha kutuita makolo.?? Zile kolokolooooo zote kwenye zile jezi za vinyesi hukuziona mkuu. [emoji23][emoji23][emoji23]. Ila mna majina VINYESI FC [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazembe tu haoBinafsi sina hata mzuka tena wa Simba day ,uzembe na ujinga ,wanajua wanambadili mdhamini sportpesa halafu sijui vunjabei hana taarifa analeta mpya ya yenye nembo ya sportpesa wakati ni mbet ,wametutia aibu hata mzuka sina
Vipo vinyesi tu ama n mkuuKwa upo live Azam? Hamna watu uwanjani
Yaani imenitoa kwenye mood,usajili tuko pamoja halafu jezi tu? Stupidity aisee
Hakuna watu eti?[emoji23][emoji23]nenda katafte midabwada yenuKwa upo live Azam? Hamna watu uwanjani
Kesho watazindua labda mchana au jioni,utapataje na kesho kutwa uende Simba day? Watakuja na sound kwamba zinauzwa taifa pale nje,ndo visingizio vinakoenda ,wametukosea,walichofanya no more pride for Simba day kesho kutwa watu morali zinashukaView attachment 2316126
nadhani huyu mkinga atakuwa anahangaika na distribution
Namtongoza mama yako nimnunulie ticket tuzame kwa mkapa baada ya mechi tujichimbie ndichi,kwahiyo wahi kumlipia mama yako nakupa dk 10 ,dk 11 namlipia baada ya mechi anyonye Koni za Azam.Hakuna watu eti?[emoji23][emoji23]nenda katafte midabwada yenu