Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu

Yule Kajula alikua ni pure Afisa masoko..Madili mapya kila siku huku timu ikiwa inazama shimoni😂
 
Hii karne ya 21 mnaajiri mtu kwa kuangalia vyeti?

Ukiona mtu ana degree nyibgi nyingi ujue huyo ni dhaifu hajiamini
Kwamba specialist wa ubongo hajiamini? Maana hiyo taaluma unasoma mno. Au unasemea hizi degree za biashara,uhasibu na masoko sijui procure?
 
Hii karne ya 21 mnaajiri mtu kwa kuangalia vyeti?

Ukiona mtu ana degree nyibgi nyingi ujue huyo ni dhaifu hajiamini
Mentor wangu ana degree moja na aliniambia hivyo hivyo.

Degree ya kwanza inatosha.
 
Warembo huwa wanakula shavu sana simba.
 
Ila wewe naye una mengi? Haya, aliyembeba ndio nani?
 
Mkuu umeona usiache lipite hadi ukafukue makaburi? Mbona nimesikia sifa zake yuko vizuri tu?
Tumpe nafasi, kisha tumpime kwa utendaji wake.


ZUBEDA ana shahada mbili za uzamili katika utawala wa umma kutoka chuo kikuu Mzumbe na chuo kikuu Warwick.

Hii ilikuwa ni joint degree au program? Au alipendelea kurisiti ulaya?

Au sijaelewa vizuri?
 
View attachment 3159857

ZUBEDA ana shahada mbili za uzamili katika utawala wa umma kutoka chuo kikuu Mzumbe na chuo kikuu Warwick.

Hii ilikuwa ni joint degree au program? Au alipendelea kurisiti ulaya?

Au sijaelewa vizuri?
Sijaelewa kwanini Simba wameweka kipaumbele cha elimu yake katika utambulisho wake badala ya uzoefu wake, ila tuachane na hilo kama nilivyosema tumpe nafasi kisha tumpime kwa utendaji wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…