ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kumbe ni chakula cha wenye meno
Kikubwa yupo chadema hata akiwa kolo no problem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni chakula cha wenye meno
[emoji23][emoji23][emoji23]Yule Kajula alikua ni pure Afisa masoko..Madili mapya kila siku huku timu ikiwa inazama shimoni[emoji23]
Hamna kitu hapo, ni chakula, na mwenye nacho kakitafutia mahali
Mkuu, Nyamongo jamaa alikula mpunga mrefu, hukupata hata kidogo?Wanawake mnaoneana wivu sana .ungesoma na wewe ungeliwa na wenye uwezo ukapewa nafasi kama hizo
Inategemea una ndoto za kuwa nani. Kama upo kwenye soko la kuajiriwa halafu unakomaa na degree moja, ndugu yangu utachelewa sana. Mfano kazi kama za World Bank bila Masters hutoboi.Mentor wangu ana degree moja na aliniambia hivyo hivyo.
Degree ya kwanza inatosha.
Mwanamke akipata kwani unaumia mkuu wangu? Ni maisha tu ya kujaribu kutafuta furaha, ilikuwa ndo njia yake ya kupita aloandikiwa na Mungu...
CEO wa ule mtaa mwingine ana degree gani vile?Tunapenda kuutarifu umma kuwa Klabu ya Simba, imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Ndugu Francois Regis, ambaye alikuwa ni Mtendaji Mkuu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu. Tunamshukuru Mr. Regis kwa kipindi alichohudumu katika Klabu yetu.
Bodi imefanya uteuzi wa Bi. Zubeda Hassan Sakuru kama Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Mkuu.
Bi. Zubeda yuko mbioni kuhitimu Shahada yake ya Kwanza ya Uzamivu, ana Shahada mbili za Uzamili katika Utawala wa Umma kutoka Chuo Kikuu cha Warwick, Uingereza na Chuo Kikuu cha Mzumbe Tanzania. Pia ana Shahada ya Kwanza kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Bi. Zubeda amefanya kazi kama Meneja Miradi wa Simba akimsaidia Bw. Kajula kuhusu mchakato wa kutengeneza sera na ushauri wa masuala ya kiutendaji.
Tafadhali ungana nasi kumtakia heri Regis na kumkaribisha Zubeda katika Klabu ya Simba.
PIA SOMA
- Simba wamtangaza CEO mpya, mrithi wa Imani Kajula
Huyu Zubeda Sakuru Alikuwa Mbunge wa Chadema, Then na Baba yake Mzazi Alichezea SIMBA, Brother Sakuru, Kwa hiyo huyo Sio Simba mbugirambugira huyo Simba Damu KABISA, Mzee Sakuru kachezea Sunderland Baadaye Akachezea Simba sports clubNami nafikiri hivyo, mbona hiyo CV kubwa haijawekwa?! 😄
I wanda! nadhani lengo ni zuri….Nami nafikiri hivyo, mbona hiyo CV kubwa haijawekwa?! 😄
Aisee no shemeji yako Yule hebu niheshimuHamna kitu hapo, ni chakula, na mwenye nacho kakitafutia mahali
Kwani wamemwajili kwa sababu ya vyetiHii karne ya 21 mnaajiri mtu kwa kuangalia vyeti?
Ukiona mtu ana degree nyibgi nyingi ujue huyo ni dhaifu hajiamini
Huyu ni kaimu!Simba bado inaendeshwa kienyeji, mchakato wa kumpata Senzo nafasi ilitangazwa na watu wakajitokeza ila sasa ni mwendo wa kuteua.
Alibebwa kilazima akapitishwa kilazima na mwenyekiti, watu waliandamana Ila mwenyekiti akakaza. Maswali yakaibuka...Zubeda aliwahi kuwa mbunge wa CDM?
Usiwaamini sana wanawake, huyo kuna kipindi hapa katikati alikua yanga.Huyu Zubeda Sakuru Alikuwa Mbunge wa Chadema, Then na Baba yake Mzazi Alichezea SIMBA, Brother Sakuru, Kwa hiyo huyo Sio Simba mbugirambugira huyo Simba Damu KABISA, Mzee Sakuru kachezea Sunderland Baadaye Akachezea Simba sports club
Tatizo la kukimbia umandeHii karne ya 21 mnaajiri mtu kwa kuangalia vyeti?
Ukiona mtu ana degree nyibgi nyingi ujue huyo ni dhaifu hajiamini