Alibebwa kilazima akapitishwa kilazima na mwenyekiti, watu waliandamana Ila mwenyekiti akakaza. Maswali yakaibuka...
Mwenyekiti nae akazungukwa, 2020 akasema kila mbunge wa viti maalum ni lazima atafute Jimbo agombee, zubby siasa hajui asingeweza kugombea popote akaachana na siasa, akapata shavu kusoma uk kupitia chevening. Baadae akahama chama