Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Klabu za mpira wa miguu Tanzania Simba, Yanga na Azam fc zapigwa marufuku kuwachezesha wachezaji wa kigeni kutokana na kutokukamilisha utaratibu wa uhamiaji na vibari vya wachezaji wa kigeni kutoka katika nchi zao, zoezi hilo limeendana na kupewa lisaa limoja tu(one hour) kuweza kukamilishwa taratibu hizo...
Source: Radio one Tanzania
Source: Radio one Tanzania