Simba, Yanga, na vilabu vyote, vitengo vyenu vya habari vijiongeze vifanye majukumu yao kikamilifu

Simba, Yanga, na vilabu vyote, vitengo vyenu vya habari vijiongeze vifanye majukumu yao kikamilifu

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Kila siku huwa najiuliza hivi ni kweli hivi vilabu vyetu vina vitengo kabisa vya habari na mawasiliano? Au ukishakuwa na smartphone na kujuwa kubwabwaja na kupost mipasho ndio imeisha hiyo?

Mimi Leo naomba niwaongeze ili msijizime data mjiupdate, wachezaji masuper star majina yao yanatumika vibaya kwenye social media na haya majina ni brand, mnapoacha hali iendelee watu kutapeliwa Kwa kutumia majina ya mastaa wenu naona kuna sehemu mmelala fofofo.

Sasa Mimi unataka niwaongeze ili mjiongeze, vitengo vyenu vya habari vihusike kuhakikisha account zote za wachezaji wenu zinakuwa verified na kupewa blue tick, hii itawasaidia sana kwenye fan base maana Kwa Sasa watu hata kucomment wanapotezea unaweza kudhani ni account halisi ya Fulani kumbe ni likibaka tu lipo hapo Tandika.

Chukuweni hiyo mjiupdate badala ya kuwa waropokaji kila siku mitandaoni Kwa pumba sisizo maana.
 
Umri wako na ulichoandika hakiendani sasa account kuwa verified inaisidia vipi team au mchezaji kwenye soka kama sio upopoma huo.
Mkuu embu saa zingine tuache kufikiria negative kisa tu ID aliyewasilisha jambo ni mtu amabaye huwa mnapingana kiushabiki.

Jamaa ana hoja ya msingi na lengo ni kulinda nidhamu, heshima za wachezaji kwasababu wachezaji ni vioo katika jamii ya ulimwengu wa soka huwa wanafatiliwa na wengi mitandaoni. hivyo lazima kuwe na uniform ya kutambua account sahihi ya mchezaji ili kulinda kufikiriwa vibaya mchezaji endapo kuna tukio limetumika kupitia account yake ya mtandao wa kijamii.
 
Kila siku huwa najiuliza hivi ni kweli hivi vilabu vyetu vina vitengo kabisa vya habari na mawasiliano? Au ukishakuwa na smartphone na kujuwa kubwabwaja na kupost mipasho ndio imeisha hiyo?

Mimi Leo naomba niwaongeze ili msijizime data mjiupdate, wachezaji masuper star majina yao yanatumika vibaya kwenye social media na haya majina ni brand, mnapoacha hali iendelee watu kutapeliwa Kwa kutumia majina ya mastaa wenu naona kuna sehemu mmelala fofofo.

Sasa Mimi unataka niwaongeze ili mjiongeze, vitengo vyenu vya habari vihusike kuhakikisha account zote za wachezaji wenu zinakuwa verified na kupewa blue tick, hii itawasaidia sana kwenye fan base maana Kwa Sasa watu hata kucomment wanapotezea unaweza kudhani ni account halisi ya Fulani kumbe ni likibaka tu lipo hapo Tandika.

Chukuweni hiyo mjiupdate badala ya kuwa waropokaji kila siku mitandaoni Kwa pumba sisizo maana.
Ila we jamaa hujawahi kuwa na hoja ya maana hata kidogo. Unashindwa kujua wazi kuwa kuwa na akaunti za mitandao ni suala binafsi sana na sio wachezaji wote wanazo. Kuna wachezaji hawapendi kuwa mitandaoni hata kidogo. Na ili akaunti iwe verified lazima kuwe na engagement ya kutosha na huwezi kupata engegement kama hauna unachoweka mtandaoni.
 
Mkuu embu saa zingine tuache kufikiria negative kisa tu ID aliyewasilisha jambo ni mtu amabaye huwa mnapingana kiushabiki.

Jamaa ana hoja ya msingi na lengo ni kulinda nidhamu, heshima za wachezaji kwasababu wachezaji ni vioo katika jamii ya ulimwengu wa soka huwa wanafatiliwa na wengi mitandaoni. hivyo lazima kuwe na uniform ya kutambua account sahihi ya mchezaji ili kulinda kufikiriwa vibaya mchezaji endapo kuna tukio limetumika kupitia account yake ya mtandao wa kijamii.
Hawa ni mbumbumbu, wala wasikusumbuwe akili.

Kichwa changu kimoja tu hata uwalete hawa matutusa 1000 hawawezi kufikia IQ yangu.
 
Mkuu embu saa zingine tuache kufikiria negative kisa tu ID aliyewasilisha jambo ni mtu amabaye huwa mnapingana kiushabiki.

Jamaa ana hoja ya msingi na lengo ni kulinda nidhamu, heshima za wachezaji kwasababu wachezaji ni vioo katika jamii ya ulimwengu wa soka huwa wanafatiliwa na wengi mitandaoni. hivyo lazima kuwe na uniform ya kutambua account sahihi ya mchezaji ili kulinda kufikiriwa vibaya mchezaji endapo kuna tukio limetumika kupitia account yake ya mtandao wa kijamii.
Hilo ni jukumu la Club au management za wachezaji?
Maana wachezaji wengi wana watu wao wa Social media.
 
Back
Top Bottom