Simba & Yanga Special Thread

Wewe unamatizo, kama mtanzania unategemea kujua kiswahili mpaka aende shule haya, bahati mbaya sitoweza kijibu matusi yako, maana kujua kutukana inategemea umetoka kwenye familia ipi, na unakaa mitaa ipi kwenye miji yetu.
 
Yanga daima mbele nyuma mwiko pigaaa hao vyura wa matopeni fc
 
Wakuu Salama?

Tutambuane mapema mashabiki wa timu hizi pinzani katika soka la Bongo. Jumamosi ni mtanange wa kukatana ndimi kati ya Yanga vs Simba. Tutambuane mapema uko upande gani?

we upande gani,me jangwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…