Simba & Yanga Special Thread

Simba & Yanga Special Thread

bbb.jpg
bbbbbbb.jpg
 
View attachment 405400 View attachment 405396 View attachment 404901 View attachment 404592
SIMBA SC
Full name=Simba Sports Club.
Nickname(s)=Taifa Kubwa,Wekundu wa Msimbazi.
Founded=1936.
Ground=National Stadium,Dar-Tz.
Chairman=Evance E. Aveva.
Coach=Joseph Omog.
Team Manager=Musa H. Mgosi.
Club Information Officer=Haji Manara.
League=Tanzania Premier League.
NGUVU MOJA.

YANGA SC
Full name=Young Africans Sports Club.
Nickname(s)=Yanga,Watoto wa Jangwani,
Founded=1935.
Ground=National Stadium,Dar-Tz.
Chairman=Yusuph Manji.
Coach=Hans van der Pluijm.
Team Manager=Hafidh Saleh
Club Information Officer=Jery Muro.
League=Tanzania Premier League.
YANGA IMARA
Dah ila kweli tusubirieni tuone itakavyokua jamani ila mimi dar young Africa damuni jamani
 
***********TUKUTANE TAREHE 1*************
 
Yanga lazima wafe,labda Sanya awabebe.Hivi kati ya yanga na simba nani kapanic? Simba hatujapoteza mechi mpaka sasa.Bossue hawezi mzuia Mavugo,kamsoko hawezi kwa Mnyate.Ngoma hapiti kwa Mwanjali hata huyo Tambwe kwa Bukungu hapiti.Kama mnadhani simba hii ni ile ya kina Kessi njooni na matokeo yenu Jmosi.
 
Yanga lazima wafe,labda Sanya awabebe.Hivi kati ya yanga na simba nani kapanic? Simba hatujapoteza mechi mpaka sasa.Bossue hawezi mzuia Mavugo,kamsoko hawezi kwa Mnyate.Ngoma hapiti kwa Mwanjali hata huyo Tambwe kwa Bukungu hapiti.Kama mnadhani simba hii ni ile ya kina Kessi njooni na matokeo yenu Jmosi.
Haya ndiyo masaa yenu ya mwisho kukaa bila kupoteza mechi. Kesho mtaifuta hii kauli mara moja.

Hakuna aliyepanic kwa taarifa yako, sisi tuko vizuri na sioni mtu wa kuifunga Yanga hapo kesho.
 
1.Ibrahim Ajibu
2.Donald Ngoma
3.Bosou
4.Zimbwe jr
5.Tambwe
6.Kichuya
7.Kamusoko
8.Mkude
 
Simba tunashinda ila I'm sure yule golikipa wetu kesho atatoa boko
Sina imani naye
 
Back
Top Bottom