Simba & Yanga Special Thread

Hata mimi nimeshangaa kuwaweka Yanga na hao jamaa pamoja, level ya Yanga ni Raja Casablanca,Tp Mazembe au Zamaleki, Simba na wenzao kina Mbao,Majimaji Mwadui.
Huu uelewa weenye ujazo mdogo, unawezaje kujitoa level ya unaeshindana nae, kama Mbao na Stand U. Kamwe Barcelona hawezi wezi sema eti Osasuna, Atletico de madrid, Las palmas na Real madrid eti sio level moja, huwezi sikia kamwe, hii utaisikia Tanzania tu Dunia, tena kwa wapenzi wa Yanga tu. Hii kutokana na kupotoshwa na mtu asiejua michezo, Jerry Muro, sasa kama Simba majiji sio lever Yunu ubingwa mnachukulia kwa kushinda daraja lipi la mashindano la pili, na polisi moro.
 
Haya sasa, hawa walipata madhara haya baada tu ya kukumbana SIMBA na wala sio Raja casablanca ya Morroco ama TP mazembe ya DRC, na wala sio Zamalleck ya Misri, bali ni Simba ya Msimbazi. Samahani kuna sehemu neno SIMBA nimeandika kwa herufi kubwa na maandishi yaliokoza, msije pata presha baada ya kusoma, maana ni kesho tu msije kosa kinachoendelea kabla mechi, kwa kulazwa hospital.
 
mkuu unajua kuchamba
 
Kesho simba tunampakata mtu na Hz mvua n baraka kwetu.
 
Swali jepesi ambalo hata mtoto wa miaka mitatu atakujibu, na wala sio lamri...
WA KIMATAIFA Vs WA MCHANGANI nani atashinda....
Mmhh,atakujibu kwa mpira wa ufukweni atashinda huyo wamchangani Ila tofauti na hapo haina haja ya kuuliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…