Simba, Yanga zikishiriki Super League kupewa bilioni 2.3, bingwa kupata bilioni 23

Simba, Yanga zikishiriki Super League kupewa bilioni 2.3, bingwa kupata bilioni 23

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Julai 17, 2021 Rais wa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Patrice Motsepe alithibitisha kuwa mipango ya kuanzishwa kwa African Super League ipo kwenye hatua nzuri, japo hadi sasa haijawekwa wazi lini hasa michuano hiyo maalum itaanza.

Tetesi ni kuwa huu ndiyo mpunga ambao unatarajiwa kupatikana katika ligi hiyo ambayo uwekezaji wake kwa jumla unatarajiwa kutumia dola milioni 200 (zaidi ya Sh bilioni 461 za Kitanzania):

• Timu 24 zitakazoshiriki CAF Super League zitapewa USD 1m (Sh bilioni 2.3) kama fedha ya wao kushiriki katika michuano hiyo.

• Bingwa atapata USD 10m (Sh bilioni 23)

• Viwanja vyote vitakavyotumika ni vya kiwango cha juu

• VAR itahusika katika kila mechi

• Bingwa wataiwakilisha Afrika katika FIFA Club World Cup


Hii ni fursa kwa klabu za Tanzania zikiwemo Simba, Yanga, Azam FC kupambana kufanikisha kushiriki katika michuano hiyo.

Caf.jpg
 
Hii programu mpunga mwingi unatokana na haki za matangazo ya TV. Azam TV waliichungulia hii wakazishawishi Simba na Yanga ziwauzie haki za contents zao kuanzia timu za vijana, wanawake na wanaume, hadi mazoezi ya kambini, na wakaufanya mkataba uwe wa muda mrefu.

Simba wakausoma mchezo wakakaa kimtego maana ukiuza haki ya matangazo hautakiwi kuwa na mdhamini mwingine anayehusika na matangazo, na wakawa wanasaini contract za muda mfupi zenye hela ndogo ndogo.

Yanga wao wakaamua kuuza haki zao zote kwa kipindi cha miaka 10. Kama mnakumbuka kuna kipindi Yanga walikuwa wanachekelea zile bilioni 40 hivi kwa miaka 10, Simba walizikataa, na msingi mkubwa ilikuwa kusikilizia dili la Super Cup
 
Hii programu mpunga mwingi unatokana na haki za matangazo ya TV. Azam TV waliichungulia hii wakazishawishi Simba na Yanga ziwauzie haki za contents zao kuanzia timu za vijana, wanawake na wanaume, hadi mazoezi ya kambini, na wakaufanya mkataba uwe wa muda mrefu.

Simba wakausoma mchezo wakakaa kimtego maana ukiuza haki ya matangazo hautakiwi kuwa na mdhamini mwingine anayehusika na matangazo, na wakawa wanasaini contract za muda mfupi zenye hela ndogo ndogo.

Yanga wao wakaamua kuuza haki zao zote kwa kipindi cha miaka 10. Kama mnakumbuka kuna kipindi Yanga walikuwa wanachekelea zile bilioni 40 hivi kwa miaka 10, Simba walizikataa, na msingi mkubwa ilikuwa kusikilizia dili la Super Cup
We mpuuzi kawaulize simba ile hela ya haki za matangazo walichukua au awakuchukua? Ukipata majibu ndo urudi kubwabwaja hapa, iyo hela waliyogomea walikwenda kimya kimya wakaichukua kawaulize kwanini waliwaficha? Eti simba walizikataa usiwe unarukia vitu usivyovijua wewe na uyo babra wenu aliyekuwa anajifanya kukomaa kukataa muulizeni kwanini alienda kimya kimya kuzichukua zile pesa bila kuitisha press conference kuwaambia Kama alivyo itisha press kuukataa ule mkataba? Mna njaa alafu mlikuwa mnaleta kiburi wakati amna kitu, ovyo kabisa nyie watu!
 
Hii programu mpunga mwingi unatokana na haki za matangazo ya TV. Azam TV waliichungulia hii wakazishawishi Simba na Yanga ziwauzie haki za contents zao kuanzia timu za vijana, wanawake na wanaume, hadi mazoezi ya kambini, na wakaufanya mkataba uwe wa muda mrefu.

Simba wakausoma mchezo wakakaa kimtego maana ukiuza haki ya matangazo hautakiwi kuwa na mdhamini mwingine anayehusika na matangazo, na wakawa wanasaini contract za muda mfupi zenye hela ndogo ndogo.

Yanga wao wakaamua kuuza haki zao zote kwa kipindi cha miaka 10. Kama mnakumbuka kuna kipindi Yanga walikuwa wanachekelea zile bilioni 40 hivi kwa miaka 10, Simba walizikataa, na msingi mkubwa ilikuwa kusikilizia dili la Super Cup
Mkuu Fatilia Za Ndani Kuhusu Simba SC Na Azam Media Kweli Suala La Kuuziana Haki Ya Matangazo.
 
We mpuuzi kawaulize simba ile hela ya haki za matangazo walichukua au awakuchukua? Ukipata majibu ndo urudi kubwabwaja hapa, iyo hela waliyogomea walikwenda kimya kimya wakaichukua kawaulize kwanini waliwaficha? Eti simba walizikataa usiwe unarukia vitu usivyovijua wewe na uyo babra wenu aliyekuwa anajifanya kukomaa kukataa muulizeni kwanini alienda kimya kimya kuzichukua zile pesa bila kuitisha press conference kuwaambia Kama alivyo itisha press kuukataa ule mkataba? Mna njaa alafu mlikuwa mnaleta kiburi wakati amna kitu, ovyo kabisa nyie watu!
Usikurupuke. Soma kwa makini, elewa kilichoandikwa ndo ujibu. Sijaona sehemu aliyoandikqa kwamba Simba hawakuchukua pesa. Hebu rudia kusoma na uelewe.
 
Usikurupuke. Soma kwa makini, elewa kilichoandikwa ndo ujibu. Sijaona sehemu aliyoandikqa kwamba Simba hawakuchukua pesa. Hebu rudia kusoma na uelewe.
Kwahiyo Simba walichukua pesa kwaajili ya kitu gani?
 
We mpuuzi kawaulize simba ile hela ya haki za matangazo walichukua au awakuchukua? Ukipata majibu ndo urudi kubwabwaja hapa, iyo hela waliyogomea walikwenda kimya kimya wakaichukua kawaulize kwanini waliwaficha? Eti simba walizikataa usiwe unarukia vitu usivyovijua wewe na uyo babra wenu aliyekuwa anajifanya kukomaa kukataa muulizeni kwanini alienda kimya kimya kuzichukua zile pesa bila kuitisha press conference kuwaambia Kama alivyo itisha press kuukataa ule mkataba? Mna njaa alafu mlikuwa mnaleta kiburi wakati amna kitu, ovyo kabisa nyie watu!
Eh!!? Kumbe mwezi ukiandama ndo unakuwaga hivi.......
 
Julai 17, 2021 Rais wa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Patrice Motsepe alithibitisha kuwa mipango ya kuanzishwa kwa African Super League ipo kwenye hatua nzuri, japo hadi sasa haijawekwa wazi lini hasa michuano hiyo maalum itaanza.

Tetesi ni kuwa huu ndiyo mpunga ambao unatarajiwa kupatikana katika ligi hiyo ambayo uwekezaji wake kwa jumla unatarajiwa kutumia dola milioni 200 (zaidi ya Sh bilioni 461 za Kitanzania):

• Timu 24 zitakazoshiriki CAF Super League zitapewa USD 1m (Sh bilioni 2.3) kama fedha ya wao kushiriki katika michuano hiyo.

• Bingwa atapata USD 10m (Sh bilioni 23)

• Viwanja vyote vitakavyotumika ni vya kiwango cha juu

• VAR itahusika katika kila mechi

• Bingwa wataiwakilisha Afrika katika FIFA Club World Cup


Hii ni fursa kwa klabu za Tanzania zikiwemo Simba, Yanga, Azam FC kupambana kufanikisha kushiriki katika michuano hiyo.

View attachment 2114663
hii ligi haitakua nzuri (yenye kuvutia) kama wanavyohisi hao watu.....
ni bora wamefanya re-branding ya Champions league, iwe na timu 32 kama ilivyo ya uefa hapo atleast ingeleta maana....!

changamoto ya hii superligue ni namna ya kuvipata vilabu hivyo 24 vya kushiriki hii michuano, bila shaka kuna nchi zitanyimwa haki ya vilabu vyao kuwepo humo!

ngoja tuorodheshe baadhi ya vilabu ambavyo lazima vitakuwepo!

1. Al ahly (Egypt)
2. Zamalek (Egypt)
3. Pyramids (Egypt)
4. Mamelodi (SA)
5. Kaizer (SA)
6. Orlando (SA)
7. Mazembe (DRC)
8. As Vita (DRC)
9. Esperance (Tunisia)
10. Etoile du Sahel (Tunisia)
11. Waydad (Morocco)
12. Raja (Morocco)
13. RS Berkane (Morocco)
14. Horoya (Guinea)
15. JS Kabylie
16. Simba (Tz)
17. Enyimba (Nigeria)
18. Al hilal (Sudan)
19. Cotton Sport (Cameroon)
20. Stade Malien (Mali)
21. 1° de Agosto (Angola)
22. Zesco (Zambia)
23. Assec (Ivory cost)
24. MC Algier (Algeria
25. CS sfaxien (Tunisia)
26. CR belou (Algeria)
27. ES Setif (Algeria)


hapo nimetaja chache, vigogo wengi sijawataja, utafanyeje hii michuano ionekane fair, iwavutie afrika nzima kutazama?....... anyway ngoja tuwasubiri CAF
 
Julai 17, 2021 Rais wa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Patrice Motsepe alithibitisha kuwa mipango ya kuanzishwa kwa African Super League ipo kwenye hatua nzuri, japo hadi sasa haijawekwa wazi lini hasa michuano hiyo maalum itaanza.

Tetesi ni kuwa huu ndiyo mpunga ambao unatarajiwa kupatikana katika ligi hiyo ambayo uwekezaji wake kwa jumla unatarajiwa kutumia dola milioni 200 (zaidi ya Sh bilioni 461 za Kitanzania):

• Timu 24 zitakazoshiriki CAF Super League zitapewa USD 1m (Sh bilioni 2.3) kama fedha ya wao kushiriki katika michuano hiyo.

• Bingwa atapata USD 10m (Sh bilioni 23)

• Viwanja vyote vitakavyotumika ni vya kiwango cha juu

• VAR itahusika katika kila mechi

• Bingwa wataiwakilisha Afrika katika FIFA Club World Cup


Hii ni fursa kwa klabu za Tanzania zikiwemo Simba, Yanga, Azam FC kupambana kufanikisha kushiriki katika michuano hiyo.

View attachment 2114663
Yanga anamjua nani huko CAF?
 
We mpuuzi kawaulize simba ile hela ya haki za matangazo walichukua au awakuchukua? Ukipata majibu ndo urudi kubwabwaja hapa, iyo hela waliyogomea walikwenda kimya kimya wakaichukua kawaulize kwanini waliwaficha? Eti simba walizikataa usiwe unarukia vitu usivyovijua wewe na uyo babra wenu aliyekuwa anajifanya kukomaa kukataa muulizeni kwanini alienda kimya kimya kuzichukua zile pesa bila kuitisha press conference kuwaambia Kama alivyo itisha press kuukataa ule mkataba? Mna njaa alafu mlikuwa mnaleta kiburi wakati amna kitu, ovyo kabisa nyie watu!
Umemuelewa lakini au kama kawaida yenu mburula wa Yanga kukurupuka?
 
Soma kwanza uelewe usijiabishe bure
Mimi nimemwelewa vyema tu. Unajua mkataba wa Azam media na Simba haukuanishwa kwa watu tofauti na Yanga na Azam ambao ulikuwa wazi. Anaposema Simba walikuwa na machale insmaana anafahamu ya ndani zaidi kuwa mkataba wa Simba na Azam ulikuwa wa muda mfupi. Kuna uhakika gani kuwa ni mfupi ilihali hakukuwa na uwazi juu ya mkataba huo? Na je simba walisaini huo mkataba wa kiasi gani na kwa muda gani?
 
Back
Top Bottom