Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kukuelewaUsikurupuke. Soma kwa makini, elewa kilichoandikwa ndo ujibu. Sijaona sehemu aliyoandikqa kwamba Simba hawakuchukua pesa. Hebu rudia kusoma na uelewe.
Yani unataka kulazimisha kuichomeka Yanga...Sawa je watatumia kigezo kipi kupata hizo timu 24 za kudumu ukiangalia kuna vilabu vikubwa na ma giants zaidi ya 24?
Utopolo hana ticket ya kushiriki huko, level zenu ni kulialia hapa bongo.Michuano ya kipumbavu sana
Wapi nimelazimisha Yanga iwepo? Ndio shida ya nyie watu mnaojawa na mahaba ya usimba na uyanga. Mtu anauliza ishu general wewe una specify katika ushabikiYani unataka kulazimisha kuichomeka Yanga...
Yeah ataenda mbeya city na kagera wakawatindue kimoko huko hukoUtopolo hana ticket ya kushiriki huko, level zenu ni kulialia hapa bongo.
Mchezaji ni mwajiriwa, analipwa mshahara wake kama makubaliano ya mkataba yalivyo. Uliona wapi mwajiri anagawa hela kwasababu kapata nyingi??Hujui, hizi hela watakula viongozi na wachezaji wataambulia kulala hotelini tu! Ufisadi katika mpira ndiyo unatuua TZ
Incentives unazijua?Mchezaji ni mwajiriwa, analipwa mshahara wake kama makubaliano ya mkataba yalivyo. Uliona wapi mwajiri anagawa hela kwasababu kapata nyingi??