Simba yangu kinachoniuma tunautaka utamu halafu tunautafuta kulee?

Simba yangu kinachoniuma tunautaka utamu halafu tunautafuta kulee?

Ukweli Simba Kuna ujinga, tuna wachezaji wazuri lakini kocha anaacha kuwatumia. Kuna wachezaji Kila mechi wanapangwa hata walijaribu mechi ijayo wanaanza. Wachezaji wengi hawajitumi na sababu wameshajua namba zile Zina watu. Usajili huwa ni bahati nasibu lakini kwa Simba ni uzembe, Kramo kasajiliwa bila kupimwa afya, kipa wa Brazil.

Kabla ya kusajili kipa toka nje wengi tulipinga lakini viongozi walijiona wajuaji kumbe wanakula ten percent za usajili. Simba isiyo na pesa ilisajili kwa kuangalia nahitaji ya timu Ila hii inayojifanya Ina pesa usajili ni ovyo kabisa.

Hivi Ally Salim ndio kipa wa kudaka Simba mechi kubwa, hivi tumeshindwa kutafuta wabadala wa mabeki was pembeni. Hivi Boko na Saidoo kwa umri wao wanaweza kutupa ubingwa was Afrika?

Umeongea ukweli mtupu kaka kwanza kinachoniuma nikuona phir hana nafac bocco ana nafas ...pili nikuona jins gani tulimuach okrah tukamleta onana ukwel usiopingika ....onana hata uwezo nusu wa okrah han au peter banda then kwa kramo siwez dought xan maan mayb ni bahat mbay kutokufatilia afya yake ingawa ni mchezaji mzur akipona

Kingine hivi kweli saido hafanyiw sub mimi toka naon mechi za simb dakik 90 au 88 pia kapomb na shabalal hivo hivo ni kam team yao una striker belek, chilunda na phiri lakin boco bado anacheza na unamuwek kibu namb 9 ni halal au kuua viwango vya wachezaji ....

Kun muda kocha amechangia pakubwa kupoteza ndoto za wachezaji wengi simb kam band , okrah , phiri , sasa naon akin musa na chilunda na duchu wanaend kupotea katik dira ya mpira....

Tunaona jinsi gani man city man united barcelon jins fani ikiwaamini vijana wakiwekwa na wakubwa wanakuwa vyema na kuwa tegemeo lakin simba imekuwa team ya kuua ndoto za watanzania vijan wengi sas watakataa kutua msimbazi na hata walio nje hawatakubal kuishia benchi
 
Tunataka simba na yanga ziwe timu kubwa Afrika kama zilivyo Wydad AC na National Al Ahly na sio kuua timu moja kisa ushabiki mandazi.

Na hii itachagizwa na viongozi wetu kuambiwa ukweli kama alivyosema mtoa mada. Simba wamesajili ovyo isipokua kwa kwa Che Malone. Ngoma bado pale kati hayuko imara, defense line inakua exposed na attacks. Mtu sahihi wa kucheza eneo lile ni Mzamiru. Ngoma namfananisha na Bwalya alivokua vzr wenye attacking na sio defending.

Upande wa yanga, wamepatia usajili kwa Pacome, Max na Yao. Wengne akna Skudu, Gift, Konkon n.k ni mizigo. Yanga suala la no 9 tangu mzee wa kutetema aondoke limekua suala tata sana.

Azam sitaki kuwaongelea maana ile ni timu binafsi ya mtu. Atajua atafanya nn kama anaiuza kwa wanachama, ataamua yeye. Hakuna kitu wanafanya. Wanatumia hela nyingi lkn hakuna commitment.

Bado timu zetu zinahitaji sajili bora. Na sajili hora zinatakiwa kuwe na pesa. Pesa zitapatikana kwa kua na vyanzo vingi vya mapato. Na sisi mashabiki tusiwe mizigo. Tulipie ada za uanachama kama zilivyo wenzetu wa kaskazini akna National Al Ahly.
 
Umeongea ukweli mtupu kaka kwanza kinachoniuma nikuona phir hana nafac bocco ana nafas ...pili nikuona jins gani tulimuach okrah tukamleta onana ukwel usiopingika ....onana hata uwezo nusu wa okrah han au peter banda then kwa kramo siwez dought xan maan mayb ni bahat mbay kutokufatilia afya yake ingawa ni mchezaji mzur akipona

Kingine hivi kweli saido hafanyiw sub mimi toka naon mechi za simb dakik 90 au 88 pia kapomb na shabalal hivo hivo ni kam team yao una striker belek, chilunda na phiri lakin boco bado anacheza na unamuwek kibu namb 9 ni halal au kuua viwango vya wachezaji ....

Kun muda kocha amechangia pakubwa kupoteza ndoto za wachezaji wengi simb kam band , okrah , phiri , sasa naon akin musa na chilunda na duchu wanaend kupotea katik dira ya mpira....

Tunaona jinsi gani man city man united barcelon jins fani ikiwaamini vijana wakiwekwa na wakubwa wanakuwa vyema na kuwa tegemeo lakin simba imekuwa team ya kuua ndoto za watanzania vijan wengi sas watakataa kutua msimbazi na hata walio nje hawatakubal kuishia benchi


BINAFSI MIJITU INAYONIBOA ZAIDI NI WATETEZI WA MOSES PHIRI

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.
2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.
3. Hafai kuwa hata Target man.
4. Anakuwa Off position ya No 10.
5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
 
BINAFSI MIJITU INAYONIBOA ZAIDI NI WATETEZI WA MOSES PHIRI

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.
2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.
3. Hafai kuwa hata Target man.
4. Anakuwa Off position ya No 10.
5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
Mchambue na Boko kwa sasa!! Ali-win mipira mingapi? Alipoteza pass ngapi? alipiga shoot ngapi? Hivi unaweza kumlinganisha Phiri na Bocco?
 
BINAFSI MIJITU INAYONIBOA ZAIDI NI WATETEZI WA MOSES PHIRI

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.
2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.
3. Hafai kuwa hata Target man.
4. Anakuwa Off position ya No 10.
5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
We nawe haueleweki, maelezo yako hayamake sense. Hayo madhaifu unayosema ya Phiri ndiyo wanayo wachezaji wengine kumzidi hata yeye. Kuna wachezaji wanaanguka hovyo kama Saido na Kibu? Kuna mchezaji anayepoteza mipira kama Saido? Hao wanaocheza badala yake wanawezaje kuilink timu kutokea chini kumzidi yeye wakati ndiyo wanaongoza kupoteza mipira? Unasema eti mfupi wa kimo, kati yake na Saido na Miq nani mfupi zaidi? Taja mechi ambayo alicheza akashindwa kumaliza mchezo kwa sababu ya majeraha. Hakuna ulilosema linamake sense.

Juzi alipoingizwa sidhani kama alipewa hata maelekezo ya kueleweka akafanye nini angalia vizuri wakati anaingia, ni kama walimuingiza tu ilimradi na inaonyesha alienda kucheza beki wa kulia nafasi ya Kapombe sasa tangu lini Phiri akacheza nafasi hiyo? Halafu eti unapata ujasiri wa kusema alienda kuchomesha. Hamna nia njema na timu nyie.
 
Ukweli Simba Kuna ujinga, tuna wachezaji wazuri lakini kocha anaacha kuwatumia. Kuna wachezaji Kila mechi wanapangwa hata walijaribu mechi ijayo wanaanza. Wachezaji wengi hawajitumi na sababu wameshajua namba zile Zina watu. Usajili huwa ni bahati nasibu lakini kwa Simba ni uzembe, Kramo kasajiliwa bila kupimwa afya, kipa wa Brazil.

Kabla ya kusajili kipa toka nje wengi tulipinga lakini viongozi walijiona wajuaji kumbe wanakula ten percent za usajili. Simba isiyo na pesa ilisajili kwa kuangalia nahitaji ya timu Ila hii inayojifanya Ina pesa usajili ni ovyo kabisa.

Hivi Ally Salim ndio kipa wa kudaka Simba mechi kubwa, hivi tumeshindwa kutafuta wabadala wa mabeki was pembeni. Hivi Boko na Saidoo kwa umri wao wanaweza kutupa ubingwa was Afrika?
Nikisikia watu wanasema tutafute mbadala wa mabeki wa pembeni najiulizaga mbona tayari wapo kwenye timu, shida hawatumiki. Yaani tupo tayari kumjaribu kipa na kuvumilia madhaifu yake yanayojirudia na kuicost timu ila forward line hatutaki kutumia wachezaji mbadala tena wengine viwango vyao vinajulikana. Inafikirisha sana.
 
Nikisikia watu wanasema tutafute mbadala wa mabeki wa pembeni najiulizaga mbona tayari wapo kwenye timu, shida hawatumiki. Yaani tupo tayari kumjaribu kipa na kuvumilia madhaifu yake yanayojirudia na kuicost timu ila forward line hatutaki kutumia wachezaji mbadala tena wengine viwango vyao vinajulikana. Inafikirisha sana.
Uko sahihi
 
We nawe haueleweki, maelezo yako hayamake sense. Hayo madhaifu unayosema ya Phiri ndiyo wanayo wachezaji wengine kumzidi hata yeye. Kuna wachezaji wanaanguka hovyo kama Saido na Kibu? Kuna mchezaji anayepoteza mipira kama Saido? Hao wanaocheza badala yake wanawezaje kuilink timu kutokea chini kumzidi yeye wakati ndiyo wanaongoza kupoteza mipira? Unasema eti mfupi wa kimo, kati yake na Saido na Miq nani mfupi zaidi? Taja mechi ambayo alicheza akashindwa kumaliza mchezo kwa sababu ya majeraha. Hakuna ulilosema linamake sense.

Juzi alipoingizwa sidhani kama alipewa hata maelekezo ya kueleweka akafanye nini angalia vizuri wakati anaingia, ni kama walimuingiza tu ilimradi na inaonyesha alienda kucheza beki wa kulia nafasi ya Kapombe sasa tangu lini Phiri akacheza nafasi hiyo? Halafu eti unapata ujasiri wa kusema alienda kuchomesha. Hamna nia njema na timu nyie.

PHIRI NI MCHEZAJI MBOVU FULL STOP.
 
Inabidi muelewe sio kila mchezaji atacheza, ligi hii sio ya kujaribu wachezaji. Yanga alifanya hivyo kilichomkuta tunajua.....
Mchezaji ili aanze inabidi aprove na sio nafasi za Ruzuku.
Why? Gap la wanaoanza na wanaoingia bado ni kubwa.
Why mzamiru na Kanoute wanarotate? Gap baina yao ni dogo........

Kingine wengi mnalalamika Style of Play, hii ndio style ya Kocha either umsitishie mkataba umlipe na fidia kwa kuwa watu wawili Jamii forum wanataka "Biriani" ilhali anadeliver matokeo.......

Kingine ni kuhusu Forwad, Simba haina forwad mzuri kwa sasa.
Angalau Baleke na Boko mzee, Phiri sio CF na hatokuja kuwa CF.
Kwa kutokujua kwenu mpira mlipiga kelele mpaka Mugalu akaondolewa ( Best CF kwenye ligi kuu katika miaka hii kadhaa).

Viongozi wanazingua, je kupiga kelele kuhusu usajili saiv ni sawa? Ni ujinga.
Tusubirie dirisha la Usajili tupige kelele zetu ikibidi mpaka kuandamana watafanyia kazi.
 
Inabidi muelewe sio kila mchezaji atacheza, ligi hii sio ya kujaribu wachezaji. Yanga alifanya hivyo kilichomkuta tunajua.....
Mchezaji ili aanze inabidi aprove na sio nafasi za Ruzuku.
Why? Gap la wanaoanza na wanaoingia bado ni kubwa.
Why mzamiru na Kanoute wanarotate? Gap baina yao ni dogo........

Kingine wengi mnalalamika Style of Play, hii ndio style ya Kocha either umsitishie mkataba umlipe na fidia kwa kuwa watu wawili Jamii forum wanataka "Biriani" ilhali anadeliver matokeo.......

Kingine ni kuhusu Forwad, Simba haina forwad mzuri kwa sasa.
Angalau Baleke na Boko mzee Phiri sio CF na hatokuja kuwa CF.
Kwa kutokujua kwenu mpira mlipiga kelele mpaka Mugalu akaondolewa ( Best CF kwenye ligi kuu katika miaka hii kadhaa).

Viongozi wanazingua, je kupiga kelele kuhusu usajili saiv ni sawa? Ni ujinga.
Tusubirie dirisha la Usajili tupige kelele zetu ikibidi mpaka kuandamana watafanyia kazi.

Asante sana kaka wewe Mpira Unaujua.

MUGALU isingekuwa MAUSHIRIKINA ya wapinzani wake ndio Top top straiker kuwahi KUMUONA ANACHEZA Tanzania.

Walikuwa wanampiga ndumba hadi anakosa MAGOLi ya wazi
 
Back
Top Bottom