princeNathan
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 312
- 632
Ukweli Simba Kuna ujinga, tuna wachezaji wazuri lakini kocha anaacha kuwatumia. Kuna wachezaji Kila mechi wanapangwa hata walijaribu mechi ijayo wanaanza. Wachezaji wengi hawajitumi na sababu wameshajua namba zile Zina watu. Usajili huwa ni bahati nasibu lakini kwa Simba ni uzembe, Kramo kasajiliwa bila kupimwa afya, kipa wa Brazil.
Kabla ya kusajili kipa toka nje wengi tulipinga lakini viongozi walijiona wajuaji kumbe wanakula ten percent za usajili. Simba isiyo na pesa ilisajili kwa kuangalia nahitaji ya timu Ila hii inayojifanya Ina pesa usajili ni ovyo kabisa.
Hivi Ally Salim ndio kipa wa kudaka Simba mechi kubwa, hivi tumeshindwa kutafuta wabadala wa mabeki was pembeni. Hivi Boko na Saidoo kwa umri wao wanaweza kutupa ubingwa was Afrika?
Umeongea ukweli mtupu kaka kwanza kinachoniuma nikuona phir hana nafac bocco ana nafas ...pili nikuona jins gani tulimuach okrah tukamleta onana ukwel usiopingika ....onana hata uwezo nusu wa okrah han au peter banda then kwa kramo siwez dought xan maan mayb ni bahat mbay kutokufatilia afya yake ingawa ni mchezaji mzur akipona
Kingine hivi kweli saido hafanyiw sub mimi toka naon mechi za simb dakik 90 au 88 pia kapomb na shabalal hivo hivo ni kam team yao una striker belek, chilunda na phiri lakin boco bado anacheza na unamuwek kibu namb 9 ni halal au kuua viwango vya wachezaji ....
Kun muda kocha amechangia pakubwa kupoteza ndoto za wachezaji wengi simb kam band , okrah , phiri , sasa naon akin musa na chilunda na duchu wanaend kupotea katik dira ya mpira....
Tunaona jinsi gani man city man united barcelon jins fani ikiwaamini vijana wakiwekwa na wakubwa wanakuwa vyema na kuwa tegemeo lakin simba imekuwa team ya kuua ndoto za watanzania vijan wengi sas watakataa kutua msimbazi na hata walio nje hawatakubal kuishia benchi