Salaam Wana jf
Ukistaajabu ya Musa ...utaona ya Mzee pharaoh, timu inayojinasibu Kwa kuota kuwa itamtoa Al ahly chaajabu imeambulia 5% za kubeba Kombe Hilo [emoji23][emoji23][emoji23] hiki ni kichekesho Kwa makolo
Kumbuka hizi takwimu zinakua calculated na wataalamu wakali wa mathematics.... probability mfano Yanga alipewa % nyingi ....akafika final ya champions
Hizi ni probability za timu kubeba super league cup
Mamelods,............23%
Al ahly .............. 21%
Wydad Casablanca...18%
Esperance de Tunis ....14%
Petro de Luanda .....12%
Tp mazembe. .......5%
Simba ( Ayubu) .........5%
Enymba 2%
NB: Je sisimizi (Simba) anaweza kumuua tembo ( Al ahly)[emoji23][emoji23]
View attachment 2785204