Simba yapigwa bao 7 Afrika Kusini

Ni habari ya chinichini kwamba mnyama simba sports yalambwa saba katika moja ya mechi za kujifua kwa ajili ya maandalizi ya msimu
Ama kweli huu utakuwa msala na kocha ajipange maana kupigwa Wiki si kitu cha kuchekelea
So what ??
 
Kuna ujuha uliwatawala wana yanga. Akizusha jambo mmoja wote wanaamini. Haya semeni simba walicheza na timu gani na wakati gani. Maana nijuavyo mimi watacheza na Pyrets pamoja na Bidvest wiki ijayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…