kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Nalitazama Kundi C CAF CL, Jwaneng Galaxy ana Point 1 mpaka sasa na mechi 1 mkononi,Mamelodi Sundowns na Al Ahly Wana Nafasi Kubwa Ya Kupita.
Halafu,Natazama Kundi A, Timu mbili Za Sudan Hapo zilipofika kwa kweli CAF Wanatakiwa wazishukuru Kwa Kuja,Matumaini ya Kupita ni Zero!
Simba Wawakilishi Pekee Wa Tanzania, Wakilishi Pekee Afrika Mashariki ..bado Wanayo nafasi,Pongezi Kwao ! Wamevuna Pointi 7 mpaka Sasa na Mchezo mmoja Mkononi..home ground !
Fundisho ni Kuwa... Wachezaji wote ni Mashujaa mlivyopigana tumeona, Manula is special case.
Kaokoa Penati 2... Big Up kwake.
Tunasema Simba Karibuni Nyumbani Kifua Mbele nyie ni mashujaa.
Mechi ya Mwisho mtu Lazima Afe Kwa Mkapa hata Kama ATAPOKELEWA na Wafugaji Wetu Waliopo DSM karibu na Kituo cha Mwendo Kasi kilichopo Pale Jangwani....nyie Msijari PIGA MTU ...UA KABISA..!! Matairi ya Kuchomea maiti Zao tumeshaaanda...hilo msijari.!!
Fundisho ni Kuwa ' Utopolo hata Kama Nyie ni Watani Wa Jadi Lakini Vitendo Vya Kuwaandalia Mapokezi Wapinzani Wa Simba ni UHAYAWANI Uliopitiliza.....! USGN wanakuja Muache Shobo..!
Halafu,Natazama Kundi A, Timu mbili Za Sudan Hapo zilipofika kwa kweli CAF Wanatakiwa wazishukuru Kwa Kuja,Matumaini ya Kupita ni Zero!
Simba Wawakilishi Pekee Wa Tanzania, Wakilishi Pekee Afrika Mashariki ..bado Wanayo nafasi,Pongezi Kwao ! Wamevuna Pointi 7 mpaka Sasa na Mchezo mmoja Mkononi..home ground !
Fundisho ni Kuwa... Wachezaji wote ni Mashujaa mlivyopigana tumeona, Manula is special case.
Kaokoa Penati 2... Big Up kwake.
Tunasema Simba Karibuni Nyumbani Kifua Mbele nyie ni mashujaa.
Mechi ya Mwisho mtu Lazima Afe Kwa Mkapa hata Kama ATAPOKELEWA na Wafugaji Wetu Waliopo DSM karibu na Kituo cha Mwendo Kasi kilichopo Pale Jangwani....nyie Msijari PIGA MTU ...UA KABISA..!! Matairi ya Kuchomea maiti Zao tumeshaaanda...hilo msijari.!!
Fundisho ni Kuwa ' Utopolo hata Kama Nyie ni Watani Wa Jadi Lakini Vitendo Vya Kuwaandalia Mapokezi Wapinzani Wa Simba ni UHAYAWANI Uliopitiliza.....! USGN wanakuja Muache Shobo..!