Simba yapoteza kwa Asec Mimosa, lakini kuna fundisho kwa wasio na uzoefu

Simba yapoteza kwa Asec Mimosa, lakini kuna fundisho kwa wasio na uzoefu

mbona tunapangiana muwafunge mcwafunge,MAPOKEZI LAZIMA.
 
mbona tunapangiana muwafunge mcwafunge,MAPOKEZI LAZIMA.
Yanga Wanatakiwa Walitolee tamko hili la 'UHAYAWANI' wa kwenda Kufanya MAPOKEZI pale Airport kwa Wapinzani Wa Simba.

Unajua Kama Yanga hawataki iwe Official, 'Infact' Wanaweza Kuwatumia Kutangaza hilo hawa 'Machale Champions' wao aidha Mr Kilo Mia nane Au Mr Msukule, Kuwa Kwenda Airport Kwa Mapokezi ni ULIMBUKENI..!
 
Mfuga ng'ombe kamati ya mapokezi kaa kimya au tuwaite revers united
 
Tatizo ni pale kila mtu anapotaka kuwa mchambuzi. Sijajua uchambuzi wako hapo unamaanisha nini. Kwani attackers si ndio washambuliaji? Labda nitaelewa baadaye
Kuna tofauti ya mshambuliaji na strikers.

Hata winger ni mshambuliaji lakini sio stricker.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Kuna tofauti ya mshambuliaji na strikers. Hata winger ni mshambuliaji lakini sio stricker.
--Badala ya kuingiza attackers matokeo yake unamtoa inonga baka na kuingiza beki ,

Fafanua hiyo sentensi, maana hakuna ulipoandika striker
 
Sasa kocha alifanya mabadiliko gani kuingiza mshambuliaji?

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Mimi siangalii kilichotokea uwanjani, naangalia ulichoandika, na ndicho ninachotaka ufafanue
Asec wapo mbele bao 3 lakini bado kocha anaingiza washambuliaji. Simba timu ipo nyuma bao tatu,, ...Badala ya kuingiza attackers matokeo yake unamtoa inonga baka na kuingiza beki ,
Huu ni uchizi. ...Alipaswa aingize striker mwingine acheze na kagere pale mbele.
 
Mimi siangalii kilichotokea uwanjani, naangalia ulichoandika, na ndicho ninachotaka ufafanue
Attaker--mshambuliaji.
Striker - mfungaji.

Umeona tofauti?

Hata angeingiza attaker pia ingesaidia timu.
Kuliko kuingiza beki wa Kati Kati wakati tupo nyuma mabao 3.

Asec memosa walikuwa wanalinda sn goli zao ,
Wakabaki nyuma wakisubiri Simba wacheze mpira na pasi zao za kurudi nyuma,,
na asec memosa wao kufanya mashambulizi ya kushtukiza kwa Simba.

Amini kabisa kama kocha Pablo akiendelea na mfumo huo wa kutosoma alama za nyakati,
Basi hata taifa hatutoboi.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom