Simba yasajili kiungo wa Sudan, kuimarisha kikosi

Huyo jamaa ni free agent.
Bado Tanzania hatuna uwezo wa kununua wachezaji.
Kwa hiyo mchezaji akiwa free agent ndo unampata bure si ndiyo...kwanza unamfahamu huyo mchezaji maana nisijekuwa napoteza tu muda wangu hapa bure
 
free agent; ama alikuwa na mkataba uko alipotoka pia
Mzee baba kwani mchezaji akiwa free agent unamchukua bure...wakina kahata na kina tuyisenge ni free agent sahv nenda kajaribu kuwagusa uone bei yao...timu iliyomnunua tuyisenge ya angola uliza wamemlipa bei gani
 
Shida ya watanzania ni ujuaji, mkataba baina ya pande mbili ni makubaliano, je ka yeye kaomba apewe mkataba wa mwaka mmoja?
 
Mkataba wa mwaka mmoja mzee
 
Mkuu ndo umeondoa picha ya Xhaka..
 
Hapa refa hata ukiwa unatoa kadi unasimama mbali ndo unatoa coz hawa alshabab walishazoea vita na mabomu...tusishangae wale viungo wa upande wa pili wakasingizia wanaumwa dengu ili wasikutane nae tu...jamaa kauzu balaa...
 
Hahaha au sio....itapendeza coz Uzi nimeucheki ni wa ukali kishenzi...tatizo linabaki kwenye matokeo sasa...
Arsenal yetu hii wanavyojua kutupandisha na kushusha presha zetu mungu ndio anajua.

unai bado hajalikiba pengo la wenga vizuri
haha sometime nahisi ni kivuli cha wengi
ngoja tumpe mda lakini
 
Habari ndio hizo Mtani. Naona watu wanamsifia tu, hivyo macho yangu na masikio yapo kwake hasa pale msimu utakapoanza.
Aisee mutu ya kazi na usajili bado unaendelea.
Mtani nanyinyi mjipange, msimu ujao hatutaki kusikia ule wimbo wenu maarufu Simba mwabebwa, Simba ya TFF, Simba mwanunua mechi mara marefa. Nasema hivi ni marufuku kuimba huo wimbo msimu ujao.
Simba nguvu moja
 
1, Mwepesi
2,Ana Speed
3,Mpiga mashuti nje ya 18
4, Ball Control na udambwi dambwi
5,Anapga Vichwa vya hatari

[emoji23][emoji23]
Sifa zote hizo halafu kapewa mkataba wa mwaka mmoja ina maana haaminiki hata kidogo
 
Arsenal yetu hii wanavyojua kutupandisha na kushusha presha zetu mungu ndio anajua.
unai bado hajalikiba pengo la wenga vizuri
haha sometime nahisi ni kivuli cha wengi
ngoja tumpe mda lakini
Wengine wanasema eti bado squad ina falsafa za Wenger kwa hiyo tumpe muda...ngoja nikubaliane nao but sometimes hawa mabosi wetu wanatuangusha tu....
Anyway tusijefurumishwa na mapaka humu ndani tutajadiri kwa thread yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…