Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Tufahamishe basi ada ya usajili ni kiasi gani?Mzee baba kwani mchezaji akiwa free agent unamchukua bure...wakina kahata na kina tuyisenge ni free agent sahv nenda kajaribu kuwagusa uone bei yao...timu iliyomnunua tuyisenge ya angola uliza wamemlipa bei gani