Simba yashikwa sharubu bila kufurukuta na African Lyon, yalala kwa goli moja Uhuru Nov 6, 2016

Simba yashikwa sharubu bila kufurukuta na African Lyon, yalala kwa goli moja Uhuru Nov 6, 2016

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
14993575_668147446677607_3929452106745981650_n.jpg
14963296_667613340064351_2913457466208696102_n.jpg

FB_IMG_1478445728031.jpg

Simba Sc timu iliyocheza mechi 13 na kufungwa goli 2 tu na moja la mkono ililofungwa na Yanga SC,leo inakipiga na African Lyon ya Dar es Salaam uwanja wa Uhuru. Mechi hiyo itakuwa ni ya 14 kwa Simba-Taifa Kubwa ikiwa imeiacha mpinzani wake Yanga (aliyefungwa na Mbeya City na Stand Utd) kwa pointi 8, imejikusanyia jumla ya pointi 35

Mechi hiyo itapigwa jioni saa 10 na itarushwa live na Azam TV na kutangazwa na TBC one na Uhuru FM. Hapa JF nitakuletea moja kwa moja mtanange huu kwa msaada wa Azam TV

Simba inategemewa kuendeleza kipigo kwa kila timu inayokutana nayo bila kujali wepesi au uzito wake.
Hivi punde ntakuletea kikosi kizima cha Mnyama Taifa Kubwa
Usiondoke

Updates....................................
KIKOSI CHA SIMBA SC-TAIFA KUBWA
1. Vicent Angban
2. Javier Bukungu
3. Mohamed Zimbwe
4. Novart Lufunga
5. Method Mwanjale
6. Jonas Mkude
7. Muzamiru Yassin
8. Mwinyi Kazimoto
9. Laudit Mavugo
10. Mohamed Ibrahim
11. Shiza Kichuya

AKIBA:
1. Peter Manyika
2. Hamad Juma
3. Said Ndemla
4. Moussa Ndusha
5. Emmanuel Semwanza
6. Jamal Mnyate

=========
Matokeo ya Mechi zote za VPL Leo.
IMG_20161106_181209.png
 
Ni Simba vs African Lyon ( sio Leon).

Mungu ibariki Simba Sc.

[HASHTAG]#UmojaNiUshindi[/HASHTAG]
 
Simba Sc timu iliyocheza mechi 12 na kufungwa goli 2 tu na moja la mkono ililofungwa na Yanga SC,leo inakipiga na African Leone uwanja wa Uhuru.

Mechi hiyo itapigwa jioni saa 10 na itarushwa live na Azam TV na kutangazwa na TBC one na Uhuru FM. Hapa JF nitakuletea moja kwa moja mtanange huu kwa msaada wa Azam TV

Simba inategemewa kuendeleza kipigo kwa kila timu inayokutana nayo bila kujali wepesi au uzito wake.
Hivi punde ntakuletea kikosi kizima cha Mnyama Taifa Kubwa
Usiondoke
Kwani walicheza jana? Leo tar 6 mkuu
 
Back
Top Bottom