OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Simba Sc timu iliyocheza mechi 13 na kufungwa goli 2 tu na moja la mkono ililofungwa na Yanga SC,leo inakipiga na African Lyon ya Dar es Salaam uwanja wa Uhuru. Mechi hiyo itakuwa ni ya 14 kwa Simba-Taifa Kubwa ikiwa imeiacha mpinzani wake Yanga (aliyefungwa na Mbeya City na Stand Utd) kwa pointi 8, imejikusanyia jumla ya pointi 35
Mechi hiyo itapigwa jioni saa 10 na itarushwa live na Azam TV na kutangazwa na TBC one na Uhuru FM. Hapa JF nitakuletea moja kwa moja mtanange huu kwa msaada wa Azam TV
Simba inategemewa kuendeleza kipigo kwa kila timu inayokutana nayo bila kujali wepesi au uzito wake.
Hivi punde ntakuletea kikosi kizima cha Mnyama Taifa Kubwa
Usiondoke
Updates....................................
KIKOSI CHA SIMBA SC-TAIFA KUBWA
1. Vicent Angban
2. Javier Bukungu
3. Mohamed Zimbwe
4. Novart Lufunga
5. Method Mwanjale
6. Jonas Mkude
7. Muzamiru Yassin
8. Mwinyi Kazimoto
9. Laudit Mavugo
10. Mohamed Ibrahim
11. Shiza Kichuya
AKIBA:
1. Peter Manyika
2. Hamad Juma
3. Said Ndemla
4. Moussa Ndusha
5. Emmanuel Semwanza
6. Jamal Mnyate
=========
Matokeo ya Mechi zote za VPL Leo.