Simba yashikwa sharubu bila kufurukuta na African Lyon, yalala kwa goli moja Uhuru Nov 6, 2016

Simba yashikwa sharubu bila kufurukuta na African Lyon, yalala kwa goli moja Uhuru Nov 6, 2016

Kwa nini uzi usiunganishwe na wa ndala ili tuwanange pindi wakipokea kipigo kutoka kwa prison
 
Simba Sc timu iliyocheza mechi 12 na kufungwa goli 2 tu na moja la mkono ililofungwa na Yanga SC,leo inakipiga na African Leone uwanja wa Uhuru.

Mechi hiyo itapigwa jioni saa 10 na itarushwa live na Azam TV na kutangazwa na TBC one na Uhuru FM. Hapa JF nitakuletea moja kwa moja mtanange huu kwa msaada wa Azam TV

Simba inategemewa kuendeleza kipigo kwa kila timu inayokutana nayo bila kujali wepesi au uzito wake.
Hivi punde ntakuletea kikosi kizima cha Mnyama Taifa Kubwa
Usiondoke
MKUU Mie natamani Leo kipa wetu apumzike tu maana huwa maadui hawafiki golini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna Kila Dalili ya Kuwa Hii Ligi itamalizika Kipa Wetu Akiwa Kafungwa Hayohayo Magoli MAWILI tu (La mkono silo) Manake Kwenye Ligi Hii Mpaka Sasahivi Sijamuona Mchezaji Wa Kumfunga Kipa Wa Simba SC
 
Kwa nini uzi usiunganishwe na wa ndala ili tuwanange pindi wakipokea kipigo kutoka kwa prison

Ingawa Mkodisho FC tokea Juzi Wanahangaikia Namba Za Simu Za Wachezaji Wa Prison ili Kufanya Miamala Lakini Hongera Uongozi Wa Prison Kwa Kuwazuia Wachezaji Wasitumie Simu Zao Za Kiganjani Masaa 24 kabla ya Mchezo wao Na Mkodisho FC.
 
Ingawa Mkodisho FC tokea Juzi Wanahangaikia Namba Za Simu Za Wachezaji Wa Proson ili Kufanya Miamala Lakini Hongera Uongozi Wa Prizon Kwa Kuwazuia Wachezaji Wasitumie Simu Zao Za Kiganjani Masaa 24 kabla ya Mchezo wao Na Mkodisho FC.
Baada ya miamala kugoma.. Mtaalamu wao wa kamati ya ufundi tangu juzi yupo bize akijiuliza, wanashindaje?? Maana kila akichungulia anaona kipigo tu..
1478421935986.jpg

[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nyie Mikia FC mnaleta zenu za Moro kulana........
 
Back
Top Bottom