OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
It was a two-year contractKwa kweli huyu Sanda tuachane nae
NdioIt was a two-year contract
Zile batiki zenu bado zipo?Subiri huu msimu tuwazike na sanda zenu
Sasa utafananisha sanda na yale matambara yenu mliyoyajaza 5 5 mkidhani na msimu huu mtajiokotea tu goli tano kwa kila timu, matokeo yake ndio kwanza kimataifa mmeishia makundi na kwenye ligi raundi ya pili hakuna timu itakubali muifunge tano hata mhonge wachezaji na mashabiki wote, halafu naona bado mnaendeleza hesabu zenu za "tuki" na "waki" hadi kwenye ligi ndio maana msemaji wenu uvumilivu umemshinda ameamua kuongelea ile penati ya jana ya simba dhidi ya nyuki maana mlitegemea tabora wawape furaha utadhani ile penati ndio iliyoamua ushindi wa mnyamaSubiri huu msimu tuwazike na sanda zenu
Yanga amekufunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5, Bado tu una wenge mrembo?Sasa utafananisha sanda na yale matambara yenu mliyoyajaza 5 5 mkidhani na msimu huu mtajiokotea tu goli tano kwa kila timu, matokeo yake ndio kwanza kimataifa mmeishia makundi na kwenye ligi raundi ya pili hakuna timu itakubali muifunge tano hata mhonge wachezaji na mashabiki wote, halafu naona bado mnaendeleza hesabu zenu za "tuki" na "waki" hadi kwenye ligi ndio maana msemaji wenu uvumilivu umemshinda ameamua kuongelea ile penati ya jana ya simba dhidi ya nyuki maana mlitegemea tabora wawape furaha utadhani ile penati ndio iliyoamua ushindi wa mnyama
Vile vitenge?Mngesema tu mnamhitaji Sheria Ngowi awatengenezee jezi
Tatizo siyo kufunga tatizo mlifungaje hizo mechi zote, hebu acheni kujitoa ufahamu bana wote tunajua kipimo cha ubora wa timu yenu ni kimataifa tu, hii ligi yetu mnajifanya mnaimudu sana kwa kuhonga wachezaji na kuhujumu timuYanga amekufunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5, Bado tu una wenge mrembo?
Hizi tunazoletewa bongo tukauziwa kwa bei ya kawaida huwa zinatoka wapi?mashabiki wataweza kununua jezi za nike, puma na adidas?
Hizi tunazoletewa bongo tukauziwa kwa bei ya kawaida huwa zinatoka wapi?
Acha kujidharau.hizo ni fake, adidas wala wamiliki wa timu hawazitambui
umeona wapi jezi ya madrid ama ya man utd inauzwa elfu 8 ama elfu 20
Mamelodi anavalishwa na PUMA, al ahly anavalishwa na adidas, nenda katazame bei za jezi wanazouziwa mashabiki wao south africa ama misri