Manula apewe ubunge
Kwakua walikuwa wanamtaka, kiasi cha yeye kutaka kuipandishia mabega Simba Sc. Hii mechi itatumika kama assesment kwake, ili waamue kama watamfukuizia au wamteme.Uzee wa Onyangoo uta tuponzaa asee
Natokea Mlingotini Kichebakuna mafundi 2 mmoja wa Mlingotini mwingine Isevya Tabora wote wameona Simba ana goli moja.
Hawa Simba watulize presha waanze kukaa na mpira ili wapunguze presha kwa Manula, mashambulizi yakizidi kwake atazidiwa