Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaumia kweliManula usiamke wamezoea hawa wajinga
Hapana mkuu.Jamani sisi ambao hatuangalii Mpira live Hii taarifa ni ya Kweli???
pole sana.Presha nnayoisikia balaa Daah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kikombe kipi mkuu, iki cha CAF?[emoji125][emoji125][emoji56]
Naombeni link please!
egylive.online
Tulia tunashinda hii gamePresha nnayoisikia balaa Daah
South wana viwanja vizuri, na ndiomaana hata ligi yao inakuwa bora.Halafu uwanja sio carpet aka artificial turf ni natural aka nyasi
😁😁😁 Kwa hiyo tumekubaliana kwa pamoja leo kipigo hakikwepeki! Na pia tukubaliane tarehe 30 ya mwezi huu tutapigwa tena na wananchi!Tukitolewa basi tumejitahidi sana kufika hata robo fainali sio mbaya