Dah! Sa sijui tufanyejeHawa wenye njano wawe Makini watatugharimu zaidi ya hapa.
Kama mechi ndiyo imeanza sasa
Safari yetu kama wawakilishi wa nchi ndo inaishia hapaUsituponze mzee, tukifunguka twafa[emoji1].
Mapema..tulieniUzembe wa kocha umetu cost kwenye hii game
Jamaa alitakiwa atolewe mapema.Ya halali ila kajitakia.
Ilikuwaje mkuuYa halali ila kajitakia.
Hamna kocha hapoDah washapata goli
Tulia dawa iingieππππ hiviiii mmenda kucheza mpira au kucheza kwaito
Dah! Sa sijui tufanyeje
Hatari mkuu, na goli tumepigwa.Safari yetu ndo inaanzia hapa